wanaficha ndizi, unajua ndizi na pilau vinaendana sana. pia, kwenye kugombania nyama, wakiona kitoto kinafakamia minyama wakati wao hawajachukua, wanakibana kimazingara, iyo nyama itamkwama kwenye koo, basi atahangaika nayo hiyo inapokuja kutoka, wameshamaliza lisinia.nasikia huko uswahilini kuna wazee wakienda msibani wanaficha ndizi ya kulia pilau mfukoni.
hao walaji hadi kinyaa,hivi mtu unawezaje kushiriki mlo kwa staili hiyo bila kuchefukwa roho.