donielplegend
Member
- Jul 24, 2017
- 9
- 4
Serikali na wizara ya ardhi itukumbuke sisi tuliomaliza katika vyuo vyao katika ngazi ya certificate na diploma hususani survey technician,wametusahau miaka mitatu lukuvi mh. Tuangalie tangazeni ajira zetu mtaaani pagumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app

