Okey wazee nimewaelewa,but inakuwa ngumu sana kutaja kila kitu hapa jamvini kwani mambo mengi yanayohusu hiyo ishu hapo juu yapo kiproffessional zaidi. Ninaweza kumwaga mambo ya fedha hapa jamvini kumbe kuna mtu alishawahi kumpiga mtu changa la macho kwa mambo hayohayo! Nafikiri tutapoongea ndipo tutapeana all the details. Najaribu ku-update thread ili niweke phone number