Itabidi rais wetu akipita tuanzishe na mahakama ya lugha haiwezekani watu wanavunja sheria za lugha halafu wanaachwa tuu...huyu kweli wa leo hapa si kuacha..ngooja
Duuuh... Wewe ni noma.....jarbu kuandka kilatini labda unaweza kueleweka.... Hcho kilugha ulichoandka kinachofanana na kiingereza kwa mbali tunashindwa kuelewa shda yako haswa ni nini