Wanawake wana sura mbili
1:kabla ujamuoa au ujafunga naye ndoa;
kipindi hiki mwanamke ata kufanyia mambo mengi sana ili akuonyeshe kma anakupenda pia ata wapenda ndugu zako mama mkwe na wifi zake.
Atashiriki kwenye kila jambo la uzuni na furaha pia ata kma una watoto wa nje ata wapenda na kuwaletea zawadi mbele yako kma peni madaftari na vitu mbalimbali pia ata wewe ukipumua ata kupa pole.
2:Baada ya kufunga ndoa;
Hapo sasa ndio anaanza kuonyesha tabia zake hatawajali ndugu zako kma zamani malingo yataongezeka pia ata wachukia watoto wako wa nje ata kuwa na kiburi ata wachukia wifi zake na wakwe zake.
NB:Usidanganyike na tabia za mwanamke kabla ajaingia kwenye ndoa.
1:kabla ujamuoa au ujafunga naye ndoa;
kipindi hiki mwanamke ata kufanyia mambo mengi sana ili akuonyeshe kma anakupenda pia ata wapenda ndugu zako mama mkwe na wifi zake.
Atashiriki kwenye kila jambo la uzuni na furaha pia ata kma una watoto wa nje ata wapenda na kuwaletea zawadi mbele yako kma peni madaftari na vitu mbalimbali pia ata wewe ukipumua ata kupa pole.
2:Baada ya kufunga ndoa;
Hapo sasa ndio anaanza kuonyesha tabia zake hatawajali ndugu zako kma zamani malingo yataongezeka pia ata wachukia watoto wako wa nje ata kuwa na kiburi ata wachukia wifi zake na wakwe zake.
NB:Usidanganyike na tabia za mwanamke kabla ajaingia kwenye ndoa.