My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
huyu alikua hukoo kwa waja leo waondoka Leo(Tanga)Kachupi
chai chapati mojaKuna Bella ciao ..huyu alitamba miaka ya 1990 uko Arusha, alikuwa anaiba Nyumba na viwanja anaenda kuuza kenya
😂😂😂chai chapati moja
Naam...huyu alikua hukoo kwa waja leo waondoka Leo(Tanga)
Huyo Jombi alifanyia wapi shughuli zake?
Kuna mwingine alikuwa Anaitwa Abel alipiga Nondo watu mia kidogooThanks Mkuu
MazafantaKuna Bella ciao ..huyu alitamba miaka ya 1990 uko Arusha, alikuwa anaiba Nyumba na viwanja anaenda kuuza kenya