Rev Fr KABOKA mchizi
Member
- Feb 20, 2012
- 93
- 11
Nawasalimu wote! Imeamriwa usile nyama siku ya Ijumaa kuu. Nawakumbusha wale wenzangu na mimi mnaowahi kwa "mangi" kupata supu asubuh asubuh. Pia tukumbuke kwenda kwenye ibada. Asanteni, maandalio mema ya PASS'OVER..