Braza!! khaa......mimi nilitaka kumrudisha kwenye urafiki....unaona sawa kuwa na mtu ambaye anaweza kutoka kwao alfajiri kuja kupiga blah blah kwa b/f? (labda ingekuwa kuna element za ambush ningeelewa)
Kutokana na yaliyotokea namtafutia category yake
Braza!! khaa......mimi nilitaka kumrudisha kwenye urafiki....unaona sawa kuwa na mtu ambaye anaweza kutoka kwao alfajiri kuja kupiga blah blah kwa b/f? (labda ingekuwa kuna element za ambush ningeelewa)
Platozoom, si vizuri kuingia kwenye mahusiano kama hauko tayari. Si vizuri kucheza na feelings za mwenzio kwani unaweza jitafutia laana.
Kuna sex workers wa kutosha tu, kama umezidiwa na mhemko. Ni wazi kuwa humpendi mwenzio ndio maana kuja kwake alfajiri wakuona kero. Kwa wanaolilia mapenzi, wangefanyiwa hivyo siku yao ingekuwa ya raha. Be man enough kueplain what kind of relationship u want with the girl kuliko kuja kutulalamikia humu ambapo mimi naona ni kama boosting fulani,
Kiukweli, umenidisappoint sana.
Hujampenda tu huyo mwanamke maana sijaona sababu ya kum- under estimate kiasi hicho. Ungekuwa haujampa uhuru wa kuja kwako tangu mwanzo then wala asingekuibukia alfajir..lakin yeye alijiaminisha kufanya coz anajua anaenda kwa beibe wake...
Pole mamito,umeudhikaa.....sijasema nimechukia ila sikupenda huo ushangazo the rest umekuwa mzaha.Umenielewa eeh au unataka kumwita Eiyer na misemina yake ya kuponda chama