platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,366
- 11,154
Unakuja asubuhi mapemaa tena wikend. Umelala kwa mapumziko ya hekaheka za Ijumaa usiku halafu mtu anakugongea na kuanza kukupigisha story nyiingi zisizo na kichwa wala mguu!!! Hata kama mapenzi lazima tujue mipaka bana.
Hivi si kuna tofauti ya:
1. Urafiki wa kawaida
2. B/f & G/f (urafiki usio wa kawaida)
3. Uchumba
4. Ndoa
Au mimi ndiye naishi Dunia ya akina Kinjekitile Ngwale au Shaaban Robert!!!!
NB: Si lazima story hii inihusu mimi
Hivi si kuna tofauti ya:
1. Urafiki wa kawaida
2. B/f & G/f (urafiki usio wa kawaida)
3. Uchumba
4. Ndoa
Au mimi ndiye naishi Dunia ya akina Kinjekitile Ngwale au Shaaban Robert!!!!
NB: Si lazima story hii inihusu mimi