Suppression of Dissent; Mbowe ni Shujaa

Suppression of Dissent; Mbowe ni Shujaa

magufuliforpresident

Senior Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
159
Reaction score
59
11896122_116820222004365_5517283645239146399_n.jpg



SUPPRESSION OF DISSENT occurs when an individual who is more powerful than another tries to directly or indirectly censor, persecute or otherwise oppress the other party, rather than engage with and constructively respond to or accommodate the other party's arguments or viewpoint. When dissent is perceived as a threat, action may be taken to prevent continuing dissent or penalize dissents.

Tafsir ya maneno ya hapo juu ni hii;

UKANDAMIZAJI WA UPINZANI hutokea wakati mtu ambaye ana nguvu zaidi ya wenzie anapojaribu moja kwa moja ama kwa namna yeyote ile kuwadhibiti, kuwatesa au kuwaonea wengine, badala ya kushirikiana/kujihusisha nao katika kuboresha ama kujibu hoja au mitazamo ya wenzake hao. Jambo hili hufanyika ikiwa huyu mmoja anaona wale wengine ni tishio, huchukua hatua za kuwazuia wenzake ama kuwashurutisha na kuwaondoa.

KUTOKANA na picha ya hapo juu;

Kutoka kulia;

Hamad Mussa Yusuph (mwenye kombati nyeusi "Msaliti") - Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA znz ambaye kwa sasa ni mgombea mwenza wa ACT Wazalendo.

Aikaeli Freeman Mbowe (SHUJAA) - M/kiti wa CHADEMA wa wakati huo na wa sasa.

Wa katikati, Peter Wilbrord Slaa (Msaliti) - Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, kwa sasa ni Mwanaharakati asiye na chama.

Mwenye fulana ya M4C, Said Arfi (Msaliti) - Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara ambaye kwa sasa ni Mwanachama wa CCM.

Wa mwisho aliyevaa Kombati, Zubeir Zitto Kabwe (Msaliti) - Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu CHADEMA, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo.
 
This The Superman Mbowe Ni Bingwa Wa Stayle Ya Makato Kwa Wale Wagonga Karata Mnaujua
 
Hotuba ya mh. Slaa imenisaidia sana kuwajua wanasiasa kwa undani zaidi! Kubwa zaidi hata tukiamini maneno yao, lakini siyo wakutegemea! Hawa watakuacha njiani, lakini kuna ukweli uliofchika, ambao labda hata yeye Slaa hajauona.

Mbowe ni genius! Slaa amenisaidia kumwona Mbowe katika ubora wake, siyo ukabila lakini kuna wakati Wachaga wapewe sifa wanazo stahili. Mbowe anafahamu hesabu na anachanga karata zake na kuzicheza vizuri sana!

Sijui kwa wengine lakini, kusema kweli mimi naona urafiki wa Mbowe na EL siyo wa kudumu. Baada ya October 25, litajengwa 'tofali' jipya katika ujenzi wa democrasia ya vyama vingi Tanzania bila kujali itashinda UKAWA au CCM! Muungano wa UKAWA na EL, una nia moja tu kupunguza absolute power ya CCM na kama siyo CCM kufa basi iwekwe kwenye viwango sawa na vyama vingine.

Anyway u-genius wa Mbowe upo wapi? Ni kwenye 'usajili!' EL, 2015 kama Slaa mwaka 2010, ni 'mchezaji' mkali ambaye unaweza kumtumia sasa kubeba ubingwa wakati ukiendelea kukuza vipaji! Kuna fursa Mbowe ameiona, ambayo hata Slaa hakujua 2010 kwamba alikua 'usajili' wa msimu ule! Mbowe ni 'mtaalamu' hata ukimwita jina gani, au useme ameuza chama, kwa kazi ya mwenyekiti wa chama ni nini?! Uza chama, I mean, uza chama!! Wakati kuna watu vyama vinawadodea na kuwafia mikononi, Mbowe anauza chama.............chema chajiuza!

Hongera Mbowe, wacha EL akusogeze, kama siyo kukamata nchi mwaka huu, lakini mwendo huu, lazima utakua karibu! Mbowe amecheza, ni bonge la kocha, na Lazima tumpe pongezi zake!
 
October 25th, tunachagua upinzani! Any further questions!?
 
Huu ni udhalirishaji kwangu mie niliyeiamini CDM ya 2005-2014 ..yaani huwezi kujiuliza credibility ya chama na viongozi walioko CDM leo? yaani kwasababu tu chama ni cha mkwe wake ndo anapata kuwaona wenye mtizamo tofauti na yeye kwamba watafukuzwa chama? kwasababu tu yeye anaelewa hawezi kufukuzwa hata avurunde vipi basi anatumia mwanya huohuo kuwaita wenzie eti wanataka kuwa juu ya chama, kwamba yeye ni msafi na hana doa ndani ya chama? kwamba atakayetofautiana naye basi kawa juu ya chama, hii ndo demokrasia? ..na watafukuzwa wengi kwasababu chama kina wenyewe, na ukidai mwongozo unaitwa msaliti ..ni bora hata CCM japokuwa wanafumbafumba lakini demokrasia yao walau inapimwa, tumeona watu 42 walipewa nafasi ya kuchukua fomu na walau tuliona Sera zao ndani ya chama kitu amabcho CDM ni ndoto, wanasubiri mfalme ateue.
 
Huna jipya hapa ni chadema/ukawa kwenda mbele kwa sana tu hakuna nakna nyingine ni mabadiliko nje ya ccm
 
KAMA chadema itashindwa katika uchaguzi huu ndio mwisho wa siasa wa mbowe arudi KUA dj
Hakuna uwezekano hata wa asilimia 30 kwa CHADEMA kuweza kushinda uchaguzi wa mwaka huu..,kwa maana hiyo ni kuwa MBOWE aanze mazoezi ya U-dj kama ilivyo katika mapendekezo yako hapo juu..Nashukuru.
 
mbowe ni mtu mbaya sana katika siasa za nchi hii,mbinafsi sana amekuwa akiwanyima haki wanachama kupata fursa ya kuwahoji viongozi wa juu pamoja na mwenendo wa chama.Na inapotokea mwanachama anania ya kujua baadhi ya mambo ndani ya chama basi uhai wake ndani ya chama ni mdogo sana,ataitwa kila jina ooh...msaliti mara mamruki,ametumwa kukiujumu chama n.k.
Kwa jina lake lililoandikwa kwenye Passport anaitwa FREEMAN AIKAELI MBOWE mtoto wa kimachame mwenye akili za kupata na anachukia kukosa..hakika mwaka huu amepata sana lakini CHADEMA wamepatikana.
 
Huu ni udhalirishaji kwangu mie niliyeiamini CDM ya 2005-2014 ..yaani huwezi kujiuliza credibility ya chama na viongozi walioko CDM leo? yaani kwasababu tu chama ni cha mkwe wake ndo anapata kuwaona wenye mtizamo tofauti na yeye kwamba watafukuzwa chama? kwasababu tu yeye anaelewa hawezi kufukuzwa hata avurunde vipi basi anatumia mwanya huohuo kuwaita wenzie eti wanataka kuwa juu ya chama, kwamba yeye ni msafi na hana doa ndani ya chama? kwamba atakayetofautiana naye basi kawa juu ya chama, hii ndo demokrasia? ..na watafukuzwa wengi kwasababu chama kina wenyewe, na ukidai mwongozo unaitwa msaliti ..ni bora hata CCM japokuwa wanafumbafumba lakini demokrasia yao walau inapimwa, tumeona watu 42 walipewa nafasi ya kuchukua fomu na walau tuliona Sera zao ndani ya chama kitu amabcho CDM ni ndoto, wanasubiri mfalme ateue.

Umesema kweli na ukweli huu ni ukweli hasa...!
 
mbowe ni mtu mbaya sana katika siasa za nchi hii,mbinafsi sana amekuwa akiwanyima haki wanachama kupata fursa ya kuwahoji viongozi wa juu pamoja na mwenendo wa chama.Na inapotokea mwanachama anania ya kujua baadhi ya mambo ndani ya chama basi uhai wake ndani ya chama ni mdogo sana,ataitwa kila jina ooh...msaliti mara mamruki,ametumwa kukiujumu chama n.k.

Mie nashindwa hata kujiuliza kwamba wakati Dr. Slaa akiwa CDM anaiponda na kuichana chana CCM huyuhuyu mbowe alimsifia sana Dr. kwa umahiri wake. Sasa najiuliza, CDM nao walikuwa wamemnunua Dr. shilingi ngapi ili aikemee CCM? make kama leo wanasema Dr. amenunuliwa basi tutaelewa kumbe hata wakati akiwa CDM anainanga CCM basi alikuwa ananuliwa pia kwasababu wwnaonekana wanaelewa tabia yake, kwamba ukitaka Dr. aongee dawa mnunue kwanza la sivyo Dr.Slaa haongei na ni bubu ..mbowe unatakiwa ukapimwe IQ yako yawezekana ukawa low charge na hujitambui
 
Mbowe is a very dyanamic politician. Yeye ndiye amefanya siasa za mwaka huu ziwe na mvuro pekee. By the way mkumbuke kwamba km sio ujanja huu wa Mbowe Cuf tusingekuwa nao leo. Ilikuwa Slaa angepitishwa Cuf wangejitoa na kuyngana na Zitto. Ndio uliokuwa mpango wa Lipumba na ccm. Chadema tulikuwa tuingie wenyewe. Ccm walikuwa wameshawekeza kwa Lipumba. Ila Mbowe kacheza km pele!
 
UKAWA TOLEO JIPYA HAIFAI KUPEWA DHAMANA YA KUONGOZA TAIFA HILI PENDWA LA JMT, NI GENGE LA WAHUNI, WASALITI WA MISINGI YAO, VIGEUGEU, WANAFIKI NA WAZANDIKI WALIOTUKUKA, watanzania hatupo tayari kuuza nchi yetu, TUMESHASEMA KWA WINGI KUWA HATUTACHAGUA UKAWA TOLEO JIPYA.
Mliotolewa ufahamu endeleeni na UZEZETA WENU.
Umemaliza yoote.,sina la kusema.
 
Mbowe is a very dyanamic politician. Yeye ndiye amefanya siasa za mwaka huu ziwe na mvuro pekee. By the way mkumbuke kwamba km sio ujanja huu wa Mbowe Cuf tusingekuwa nao leo. Ilikuwa Slaa angepitishwa Cuf wangejitoa na kuyngana na Zitto. Ndio uliokuwa mpango wa Lipumba na ccm. Chadema tulikuwa tuingie wenyewe. Ccm walikuwa wameshawekeza kwa Lipumba. Ila Mbowe kacheza km pele!
Mhhh hii hoja mpya...inafikirisha, jambo ambalo watanzania wengi hawalipendi ingawa inawalazimu kulifanya.

Kumbe CCM walishaingia mkataba na Prof Lipumba ili awauzie CUF., kisha Mbowe akaja kutibua Dili kwa kumuuzia CHADEMA, CUF, NLD, NCCR - Mageuzi kwa wakati mmoja kwa mwanaCCM wa zamani na swahiba wa karibu wa Jakaya Ndugu Edward Ngoyai.

Kama sio U-geniuos wa Mbowe leo UPINZANI wote usingelikuwa chini ya MwanaCCM kindakindaki..
 
Huu ni udhalirishaji kwangu mie niliyeiamini CDM ya 2005-2014 ..yaani huwezi kujiuliza credibility ya chama na viongozi walioko CDM leo? yaani kwasababu tu chama ni cha mkwe wake ndo anapata kuwaona wenye mtizamo tofauti na yeye kwamba watafukuzwa chama? kwasababu tu yeye anaelewa hawezi kufukuzwa hata avurunde vipi basi anatumia mwanya huohuo kuwaita wenzie eti wanataka kuwa juu ya chama, kwamba yeye ni msafi na hana doa ndani ya chama? kwamba atakayetofautiana naye basi kawa juu ya chama, hii ndo demokrasia? ..na watafukuzwa wengi kwasababu chama kina wenyewe, na ukidai mwongozo unaitwa msaliti ..ni bora hata CCM japokuwa wanafumbafumba lakini demokrasia yao walau inapimwa, tumeona watu 42 walipewa nafasi ya kuchukua fomu na walau tuliona Sera zao ndani ya chama kitu amabcho CDM ni ndoto, wanasubiri mfalme ateue.



Ccm walichukua form tu ila sio wote 42 walipewa nafasi ya kunadi Sera zao
 
UKAWA TOLEO JIPYA HAIFAI KUPEWA DHAMANA YA KUONGOZA TAIFA HILI PENDWA LA JMT, NI GENGE LA WAHUNI, WASALITI WA MISINGI YAO, VIGEUGEU, WANAFIKI NA WAZANDIKI WALIOTUKUKA, watanzania hatupo tayari kuuza nchi yetu, TUMESHASEMA KWA WINGI KUWA HATUTACHAGUA UKAWA TOLEO JIPYA.
Mliotolewa ufahamu endeleeni na UZEZETA WENU.



Watanzania wa sasa wataiumbua CCM mchana kweupe wa tarehe 24 October mwaka huu; nakuombea uzima nawe uwe hai ushuhudie UKAWA tukikabidhiwa nchi.


Hakuna mwanzo usio na mwisho kamwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom