wana jf,naombeni ushauri/msaada wenu nna degree procurement+cpsp but mpaka sasa hivi sijapata ajira ya kudumu,niliajiriwa kwa mkataba kampuni moja ya serikali wakaniahihidi kibali kikitoka wataniajiri permanent,mh lakini kibali cha ajira kilipotoka secratariat ajira wakasema wao ndo wanatakiwa wafanye hiyo kazi,so ofice hawakuweza kuniajiri tena.sa hivi mwaka wa tano wameniajiri kw mkataba nami nataka ajira ya kudumu nifanyeje????na wakati secretariat ya ajira washaleta watu wao?? na nimejaribu kuaplyy sehemu nyingine cjafanikiwa msaada wenu wana jf