Said Bagaile
JF-Expert Member
- Jun 23, 2011
- 686
- 256
Ndugu Wanabodi,
Kama kuna yeyote miongoni mwenu anayefanya biashara ya samaki aina ya SATO na SANGARA wa jumla kwa ajili ya Wafanyabiashara wa rejareja wenye viosks hapa Dar, tafadhali ani-PM.
NB:
Nina uwezo wa kuchukua kuanzia Tani moja kwa wiki.
Naomba kuwakilisha.
Kama kuna yeyote miongoni mwenu anayefanya biashara ya samaki aina ya SATO na SANGARA wa jumla kwa ajili ya Wafanyabiashara wa rejareja wenye viosks hapa Dar, tafadhali ani-PM.
NB:
Nina uwezo wa kuchukua kuanzia Tani moja kwa wiki.
Naomba kuwakilisha.