Suphian Juma: Nimeng'atuka ACT Wazalendo

Hongera kwa kusimamia unachokiamini.
 
Dunia ijue??wanyaturu wenzio singida tuu hawana habari naujinga wenu ACT
 
Unafikiri ni sababu zipi zimefanya hilo kundi kubwa la wabunge likosekane?
 
Wabunge 117+ wa upinzani.... Yes waliibiwa kura lakini walau kuna sizeable chunk ya kuendeleza harakati.

Kura za Urais huwezi pinga mahakamani but still 6 million votes hta kma umeibiwa ni statement victory ya upinzani kupata basis ya kuimaliza CCM.

Hata Lissu angepewa 40% then wabunge walau 100 CHADEMA wasingesusa coz walau ingekuwa karibu na ukweli kuliko huu upuuzi uliotokea.

Embu tuwe realistic.... Kikwete alishinda urais kwa 80% ila wapinzani walikua na wabunge zaidi ya 50!
 
Upeo wako katika siasa ni mdogo saaaana! Suala la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ni suala la Katiba ya Zanzibar! Wewe kafanye kazi ya urembo huna mwonekano wa kisiasa ndani ya kichwa chako na hata mwonekano wa mwili wako.
Mwaka 2016 halikua la kikatiba? Mbona ni optional wapi wamesema ni mandatory? Kwani uchaguzi huru na haki haipo kikatiba? Viti maalum haipo kikatiba? Mbona CHADEMA walivigomea?

Weird
 
Halima aliuliza "Hatukuukubali uchaguzi wa 2010, wa 2015 lakini tuliingia bungeni. Nini cha tofauti 2020?
Tofauti ni magnitude ya wizi haijawahi tokea upinzani upate madiwani 8 nchi nzima na ipate mitaa 10 tu nchi nzima na kuambulia majimbo mawili bara.

Hili halijawahi kutokea na ndio tofauti na chaguzi zingine.
 
Ngoja tuone ila dogo kaanza kurusha madongo upinzani mapema hana stamala kabisa na baada ya jiwe kuondoka mamluki wengi watafukuzwa CCM sio mbali ni 2025-26 hapo.
Si unajua JIWE mtu wa kuingizwa CHAKA ,watu washakaa mezani na Dogo atapewa SHAVU tu.
 
Ngoja tuone ila dogo kaanza kurusha madongo upinzani mapema hana stamala kabisa na baada ya jiwe kuondoka mamluki wengi watafukuzwa CCM sio mbali ni 2025-26 hapo.
Ameondoka ACT, that's the point. Hawana Mbunge, hawana Diwani, hata mmoja, hawana vitimaalum, hawana ruzuku. Zanzibar wanao watatu tu kwa hiyo watakula nini bila kutegemea Waarabu? Hiyo ya kujiunga au kutojiunga CCM ni janjanjanja tu sitegemei hata kama CCM watamchukua.
 
Mtu yeyote anayehama hama vyama huwa namuona hana uwezo mzuri wa kufanya maamuzi.
 
Ndo huyu anayesema na msigwa?
 
Itabidi wadau humu mum tag mwana πŸ˜‚πŸ˜‚

Ova
 
Suphian Juma shoga kutokana na maelezo ya msigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…