Suphian Juma: Nimeng'atuka ACT Wazalendo

Rule and divide naona inaleta matokeo japo naamini hawatafanikiwa.

Hongera brother, Ukweli utakuweka huru.!
 
Ndio nani????
 
Endeleeni tu kuisaidia ccm kuuwa vyama vyenu, hakuna mapimbi wa kuja kuvisimamisha tena ndio vinakufa hivyoo,

CHADEMA haitakufa kwa kukataliwa na wananchi, labda kifutwe na msajili wa vyama vya siasa. Chadema ni brand kubwa na ni chama cha kizazi hiki boss. Mlifanikiwa kuiua NCCR, CUF nk lakini sio kwa chadema, labda chadema ikosee ianze kujipendekeza kwa ccm

Vinginevyo itabidi ccm indelee kutumia taasisi za kimamlaka kama tume ya uchaguzi, TISS, polisi na kura za kwenye mabeg ili kutangazwa washindi na sio kushinda

Iwapo wananchi watazidi kupoteza imani na box la kura, hawatajitokeza kupiga kura, lakini sio kupigia kura ccm kwa ridhaa yao.
 

Hoja yako ni nini hapa?
 
Achana na siasa, hakuna dili na kila mtu ni muongo. Bora weka muda wako kwenye shughuli zingine na utanufaika, siasa ni ugojwa wa moyo tu.
Tena zaidi ya kuwa na daladala
 
Hongera sana Suphian, uamuzi wako ni uamuzi wa kusimamia misingi
Nakuunga mkono mia kwa mia. ACT siyo chama cha kusimamia ajenda za msingi za Taifa tena, bali ni chama rahisirahisi tu cha watu wasio na msimamo usioyumba, ni chama cha wasaka fursa
 
Eti wengi wameumia ,mpuuzi sana ulikuwa na lipya lipi sema umefukuzwa unalialia tu mitandaoni
Angefukuzwa chama chake kingetoa taarifa. Hapa yuko kwa verified user kasema ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga na ukatili wa mtu mweusi kwenye box la kura.

Hivyo hayuko tayari kukubaliana na maamuzi ya chama chake kubariki ule ushenzi, ili watu kadhaa wapate vyeo full stop.
 
Kitendo cha kutotolea ufanunuzi kuapishwa yule mbunge wa Nkasi, kwa waelevu chadema ni waganga njaa tu
 
Kitendo cha kutotolea ufanunuzi kuapishwa yule mbunge wa nkasi,kwa waelevu cdm ni waganga njaa tu

Msimamo wa chama uko wazi kuwa uchaguzi ule haukuwa halali. Hata huyo mbunge hayuko kwa baraka za chama bali alikimbilia. Maadamu alilazimisha kuwa kuchaguliwa na wananchi, busara ilitumika kumpotezea. Na ndio maana huoni chama kikijihusisha na yeye wala kumjadili ili asitumike kwenye propaganda mfu za kuchafua haiba ya chama. Kirahisi hivyo.
 
Kinachowaumiza vyama vya upinzani ni tamaa na uroho wa vyeo. Hivi kwa mfano Maalim Seif angeukataa umakamu wa kwanza wa rais feki kule zanzibar angekosa nn? VIP halima mdee asingeenda kujiapisha bungeni Maisha yasingeenda? Msimamo ni muhimu Sana kwa taasisi.
 
So chama kitapokea ruzuku kupitia yule mbunge?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…