Wabongo ni wabunifu sana kwa kuiba....
Kila saa wanawaza michongo ya kuiba...
Hata mm nitaogopa kuwaajiri
Habari wanabodi,
Nimefanya ka uchunguzi ka haraka haraka nikagundua kuna hizi kampuni ambazo zimebobea kuajiri wageni kwenye nafasi nyeti especially za uhasibu na general administration mojawapo ni Superdoll, Bakhresa Group, Quality Group, Mohamed Enterpises etc hapa nimetaja chache. Kampuni hizi zinamilikiwa na wazalendo sasa inakuwaje wanaleta nyomi kutoka India kupiga kazi wakati vijana wapo mitaani wanakufa njaa? Bakhresa, Manji, Nassor , Dewji kwani hamna mswahili mzalendo mwenye CPA , ACCA anayeweza kuwa Financial Controller hapo hadi ukakokote wahindi kutoka India? Kama tatizo experience si muweke waswahili chini yao wajifunze halafu wakishajua mnaondoa hao wajamaa.
Mbona hawa wenzetu wanakosa uzalendo? Kama wahindi wanaweza sana kuongoza si wahamishe na hizi biashara zao ziende huko India?
Hivi tatizo ni nini wana bodi ni kwamba watanzania hatuwezi hizi kazi? au tuna demand pesa nyingi? au ndio uzoefu? au kasumba tu!?
100%Kuna tatizo la uaminifu pia ingawa, uvivu wa baadhi yetu na sio wote, na imani ya waajiri kwamba ni rahisi kuwadhibiti foregners kuliko locals. Wageni hawana misiba mingi ya kuhudhuria kama locals
tumlilie raisi wetuuhamiaji wamefeli.
mambo ya ndani wamefeli.
Takukuru wamefeli.
Mzalendo Namba moja amefeli.
waziri mkuu amefeli.
wizara ya viwanda wamefeli.
bunge limefeli.
tumlilie nani wakati wao na viongozi ni maswahiba
Upo sahihi wabongo uaminifu 0 ha2aridhiki na mshahara hatauwe mkubwa vip bila kuiba anaona kazi mbaya tu acheni wiziWabongo wezi sana
Alafu pia wahindi ni wazuri sana kwa uhasibu wanapiga kazi kisawsawa ndio maana hata makampuni ya wazungu utakuta accountant muhindi.
Pia sheria za kazi ziboreshwe ili kuwapa wazawa kipaumbele.idara ya uhamiaji ni dhaifu.
Mmezidi wizi!Habari wanabodi,
Nimefanya ka uchunguzi ka haraka haraka nikagundua kuna hizi kampuni ambazo zimebobea kuajiri wageni kwenye nafasi nyeti especially za uhasibu na general administration mojawapo ni Superdoll, Bakhresa Group, Quality Group, Mohamed Enterpises etc hapa nimetaja chache. Kampuni hizi zinamilikiwa na wazalendo sasa inakuwaje wanaleta nyomi kutoka India kupiga kazi wakati vijana wapo mitaani wanakufa njaa? Bakhresa, Manji, Nassor , Dewji kwani hamna mswahili mzalendo mwenye CPA , ACCA anayeweza kuwa Financial Controller hapo hadi ukakokote wahindi kutoka India? Kama tatizo experience si muweke waswahili chini yao wajifunze halafu wakishajua mnaondoa hao wajamaa.
Mbona hawa wenzetu wanakosa uzalendo? Kama wahindi wanaweza sana kuongoza si wahamishe na hizi biashara zao ziende huko India?
Hivi tatizo ni nini wana bodi ni kwamba watanzania hatuwezi hizi kazi? au tuna demand pesa nyingi? au ndio uzoefu? au kasumba tu!?
Mkuu me mtumishi WA Yehova hatutaki cha mtu nifikirieeMimi ni Mtanzania, tena mweusi sana, lakini kwa kweli kabisa kumwajiri Mtanzania kwenye sehemu nyeti za kampuni yangu sitaweza. Watanzania wengi kila wakati wanafikiria namna ya kukuibia hata kama utamlipa mshahara mkubwa au kumsaidia vipi. Hilo ni tatizo kubwa katika jamii yetu na limeibuka miaka ya karibuni katika nchi yetu - kuanzia miaka ya 80 hivi.