Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,165
- 6,531
- Thread starter
-
- #101
Eti umesahau ni jani gani. Kah.Natamani ningekua hili jani/tawi la .......................Nimeangalia hii picha hadi nimesahau hili ni jani/tawi la mti gani.. kila nikijaribu kufikiri hata jina lake haliji tena. Nisaidieni kujaza hapo juu. Ukimuona huyu mtoto hapo ni mwembamba lakini mmmhhh kiunoni kwenda chini shughuli.. Mungu tuongoze kwenye haya maua.
Alienda maliwatoni kidogoNa cameraman unamuacha wapi wakati bila yeye project isingekamilika
Chagua weweNipewe nin mimion my waytunaanzia wapi sitting, chumbani ama bafuni.?
Hukohuko fuata kibao kinapoelekeza....mmmmh ndio wapi huko
Miguno vipi???Aseeee
......mmmmmh
Mlango umefungwa mbnHukohuko fuata kibao kinapoelekeza
We acha tuMiguno vipi???
Fata maelekezo vizuriMlango umefungwa mbn
We acha tu
Na mpofuke tuh
Ujue Nakupenda Super Women
.Super nakuona nakuona kwenye ubora wako.......
Siyo kwa mapozi hayo