Frank Ishengoma
Member
- Oct 8, 2023
- 37
- 17
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Abdulaziz M. Abood
Leo 22/10/2023 anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye Tamasha lililoandaliwa na MORO SUPER WOMEN PRESENT tamasha hilo linaitwa WOMEN SUPPORTING WOMEN 2023 litafanyika kwenye ukumbi wa MBARAKA MWISHEKHE (DDC) kuanzia saa sita mchana
Leo 22/10/2023 anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye Tamasha lililoandaliwa na MORO SUPER WOMEN PRESENT tamasha hilo linaitwa WOMEN SUPPORTING WOMEN 2023 litafanyika kwenye ukumbi wa MBARAKA MWISHEKHE (DDC) kuanzia saa sita mchana