Super glue OKO na A-B glue

SAFI SANA MAKONDA
Mimi nampongeza sana Makonda,
Nyinyi wenye vyeti mnatakiwa mumfuate ili awaelekeze formula za kuhustle,
Yaani jamaa ametumia akili nyingi sana kufika pale alipo,
sio mijitu imebeba elimu kibao alafu imeshindwa kuplann njia za kutoka kimaisha lakini mtu ambae ni felia Ametusua mbele ya macho yao, HAMUONI AIBU??
kanuni ipo wazi
Dhaifu watakufa, strong wata-survive,
Haijalishi hao strong wata-survive kwa kula nyama za viumbe dhaifu, au watakula nyasi,
LENGO KUU NI KU-SURVIVE,
NA NDILO LILILOTIMIZWA,
OVA
 
the end justifies the means au sio

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
the end justifies the means au sio

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
Kumbe unaelewa lakini unaamua tu kutuchezea akili,
Mshana, muheshimu sana mtu aliyepata mafanikio flani ambayo ni ndoto za watu wengi,
Ingekuwa kutumia vyeti feki ni simple namna hiyo basi wangetumia wengi
 
Kumbe unaelewa lakini unaamua tu kutuchezea akili,
Mshana, muheshimu sana mtu aliyepata mafanikio flani ambayo ni ndoto za watu wengi,
Ingekuwa kutumia vyeti feki ni simple namna hiyo basi wangetumia wengi
 
kuna wakati huwa nakaa nafikiria haya ghafla mawazo yananijia nakukubaliana na Mh.Sugu kuwa huyu ni mtoto wa mzee tena mtoto aliependezwa nae,mkono wakuume wabwana mfalme,mtukufu,asiyejaribiwa,bingwa wa visasi,baba j,faruuu...!!
 
Kumbe unaelewa lakini unaamua tu kutuchezea akili,
Mshana, muheshimu sana mtu aliyepata mafanikio flani ambayo ni ndoto za watu wengi,
Ingekuwa kutumia vyeti feki ni simple namna hiyo basi wangetumia wengi
watu hawapingi hilo ila kihoja na mshangao wawengi unapo anzisha vita na nyani silaha yako ikawa ndizi na ya nyani mawe
 
kuna wakati huwa nakaa nafikiria haya ghafla mawazo yananijia nakukubaliana na Mh.Sugu kuwa huyu ni mtoto wa mzee tena mtoto aliependezwa nae,mkono wakuume wabwana mfalme,mtukufu,asiyejaribiwa,bingwa wa visasi,baba j,faruuu...!!
 
Ukitumia Logic... Nae anatakiwa kuwajibishwa kama kuna ukweli wa kuhusika na hizo tuhuma ambazo hazijakanush wa.... Nahisi hizi tuhuma hazina ukweli wowote ndo maana mkuu hajachukua hatua... siku akipata detail kamili atachukua hatua..... mwacheni mkuu wetu aendelee kutuboreshea maisha...
 
Hapo ni atumbuliwe au amsha amsha ya kukagua vyeti iishiye hapo,halafu tufanye conclusion kwamba mbio za muheshimiwa zilikua ni RAT RACE
 
Yaani haileweki kabisa na nahisi huyu ndiye mshauri wake mkuu.

Ukisoma historia kila regime inayoanguka kichocheo huwa ni kidogo kabisa, wala ambacho huwezi kukidhania lakini mwisho wa siku kina impact kubwa sana. Kuna kila dalili jina la Bashite litaandikwa kwenye historia ya nchi hii.
 
Wewe unachekesha, watu waache kumdharau mwenye vyeti feki waje wamdharau anayetaka ukweli, wewe ni kichekesho cha siku
Watu wapenda haki hawafuati upepo wala hawapeperushwi ki-bendera fuata upepo.
Iko hivii? Vyeti feki vinavyoongelewa ni hadithi kama zilivyo hadithi zingine zozote za kutunga. Hakuna mahali popote palipotuthibitishia kuwa yanayoimbwa kingonjera toka kwenye midomo ya watuhumiwa kuwa ni ya kweli pasi na kuacha shaka.
Sasa tumeegemea upande ambao tunataka iwe, kabla hata ukweli haujathibitishwa.
Je ikithibitishwa kinyume chake utasemaje? Ama itakuwa kama walivyo washabiki wa timu za mpira? Kwamba anakuwepo uwanjani akishuhudia timu yake inapokaangwa, lakini huzua sababu za kupotosha udhaifu wa timu yake?
Mtu yeyote mwenye busara zake hupima upepo wa maneno kwanza kabla hajafungua mdomo wake ku-"comment" na kuonesha anachishabikia.
 
inaonekana zimemixiwa OKO na A-B iyo mixture iliyo patikana apo ndo gundi ilio tumika
 
Hii oko inapatikana wapi?nahitaji haraka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…