Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,308
- 4,209
Picha inamuonesha mstaafu huyo akienjoy maisha sura ikiwa na nuru na bashasha huku moyoni akisema msemo wa Herode "nimenawa mikono".
Simsifii wala kumtetea.Unamsifia?
UNAMUUNGA MKONO?
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Vizuri Mkuu.Simsifii wala kumtetea.
Wee toto tunduUnataka kusemaje baba mwajuma ndala ndefu?
Na ole wako 9D nisione matraco yako barabarani unaandamana, ikiwezekana wakupunyue hata moja ya sikio, itakuwa alama ya kudumu kwa wakati ujao na vizazi vyako vijavyo kwamba wewe nawe ulikuwa mmojawapo wa mashujaa wa Taifa.Wee toto tundu
Dogo jamba kunya uruke kitandani.Na ole wako 9D nisione matraco yako barabarani unaandamana, ikiwezekana wakupunyue hata moja ya sikio, itakuwa alama ya kudumu kwa wakati ujao na vizazi vyako vijavyo kwamba wewe nawe ulikuwa mmojawapo wa mashujaa wa Taifa.
Hayo mambo ya kupeana amri kama unaongea na mkeo mwajuma ndala ndefu nimeshakuonya mara kibao, naona umekandika pamba masikioni husikii.Dogo jamba kunya uruke kitandani.
Nyau ww