Grenade
Member
- Sep 10, 2012
- 79
- 72
Jamaa mgeni kabisa kaajiriwa kwenye
kampuni;
SUPAVAIZA: Mheshimiwa unaitwa nani?
JAMAA: Naitwa John.
SUPAVAIZA: John nani? Unajua jambo ambalo
nimeligundua ni kuwa watu mkianza kuitana
majina ya kwanza mnazoeana na kazi
inakuwa haiendi. Mi sio rafiki yako mi ni
Supavaiza wako, kwa hiyo tafadhali nambie
jina lako kamili
JAMAA: Naitwa John Mmewangu.
kampuni;
SUPAVAIZA: Mheshimiwa unaitwa nani?
JAMAA: Naitwa John.
SUPAVAIZA: John nani? Unajua jambo ambalo
nimeligundua ni kuwa watu mkianza kuitana
majina ya kwanza mnazoeana na kazi
inakuwa haiendi. Mi sio rafiki yako mi ni
Supavaiza wako, kwa hiyo tafadhali nambie
jina lako kamili
JAMAA: Naitwa John Mmewangu.