Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Alafu wabongo na sisi tuige basi. Kudaadadeki, asemavo Lusinde!
Alafu wabongo na sisi tuige basi. Kudaadadeki, asemavo Lusinde!
Unaijua methali ya "Husione wembamba wa reli? Tafakari!Sasa kama kaolewa, hyo mimba itakaa wapi? Mana sipati picha akitembea, lazima aangushwe na upepo.
Sasa kama kaolewa, hyo mimba itakaa wapi? Mana sipati picha akitembea, lazima aangushwe na upepo.
Anorexia ni ugonjwa unaowapata wadada wengi waliopo kwenye teens katika nchi za Kimagharibi.
Wakaka pia inawapata
Huyu nae ana mpenzi?
Hiyo pich simply photoshop, hata kama Angelina ni skiny but not that extent!
Wakaka pia inawapata