Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,664
- 2,517
What is the theme of the story?Sungura mmoja aliingia dukani na kuuliza
"Mna karoti?".
Wakamwambia, "Hapana, Hatuna".
Siku iliyofuata Sungura akaingia tena na kuuliza ," "Mna karoti?".
Wakamjibu kwa hasira "Tulishakwambia hatuna karoti. Usirudie kuja kuuliza tena karoti, ukirudia tutachukua msumari na nyundo tukutoboe kichwa"
Siku ya tatu Sungura akaenda tena ,akauliza "Mna nyundo? Wakamjibu hapana . Akasema ; "Vipi kuhusu misumari?" Wakamjibu, "Hatuna"! Kwa utulivu akauliza tena; "Mna Karoti?"
The theme of the story is already there in its wrttings, just read all the words in it. Unless if your concern is on the moral of the story! Nimecheka sana leoWhat is the theme of the story?
OK, thanks!The theme of the story is already there in its wrttings, just read all the words in it. Unless if your concern is on the moral of the story! Nimecheka sana leo
Your have read the story, isn't it?OK, thanks!
Then, what is the moral of the story?
OK, thanks!
Then, what is the moral of the story?
Ok!Do not make empty threats
Sungura mmoja aliingia dukani na kuuliza
"Mna karoti?".
Wakamwambia, "Hapana, Hatuna".
Siku iliyofuata Sungura akaingia tena na kuuliza ," "Mna karoti?".
Wakamjibu kwa hasira "Tulishakwambia hatuna karoti. Usirudie kuja kuuliza tena karoti, ukirudia tutachukua msumari na nyundo tukutoboe kichwa"
Siku ya tatu Sungura akaenda tena ,akauliza "Mna nyundo? Wakamjibu hapana . Akasema ; "Vipi kuhusu misumari?" Wakamjibu, "Hatuna"! Kwa utulivu akauliza tena; "Mna Karoti?"
Sungura mmoja aliingia dukani na kuuliza
"Mna karoti?".
Wakamwambia, "Hapana, Hatuna".
Siku iliyofuata Sungura akaingia tena na kuuliza ," "Mna karoti?".
Wakamjibu kwa hasira "Tulishakwambia hatuna karoti. Usirudie kuja kuuliza tena karoti, ukirudia tutachukua msumari na nyundo tukutoboe kichwa"
Siku ya tatu Sungura akaenda tena ,akauliza "Mna nyundo? Wakamjibu hapana . Akasema ; "Vipi kuhusu misumari?" Wakamjibu, "Hatuna"! Kwa utulivu akauliza tena; "Mna Karoti?"