Sumsung led Tv series 5 n 5000 32 inches

Sumsung led Tv series 5 n 5000 32 inches

Katika tv ninachojali ni kama nikiunganisha playstation yangu picha inaonekana vizuri zaidi ya hapo sina kazi kubwa na tv.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
ukitoa oled ambayo ndio tech halisi zote zilizobakia miniled, qled, uled etc ni lcd sema mwanga wake sio wa bulb, inatumia mwanga mdogo mdogo sana ku imitate oled.
mfumo ni kama huu
Image-construction-500x384.jpg


lcd ya kawaida inakuwa na bulb kabisa kama za ukutani
for-LG-42inch-LCD-backlight-6637L-0017A-PPW-HL42DC-LC420DUN-6916L-1120A-1121A-1122A-1123A-1set.jpg


na oled yenyewe haitegemei mwanga toka nyuma, kioo chenyewe ndio kinatoa mwanga
hqdefault.jpg
Hii Oled naifanisha na super Amoled wanayotumia sumsung kwenye simu zao, uzuri wa oled ina deep black, sema nayo ni ghali sana around million 2 tv zao zinaanzia, wazalishaji wakubwa wa oled ni LG, sumsung hawazalishi, wandhalisha qled (quantum dot)
 
ukitoa oled ambayo ndio tech halisi zote zilizobakia miniled, qled, uled etc ni lcd sema mwanga wake sio wa bulb, inatumia mwanga mdogo mdogo sana ku imitate oled.
mfumo ni kama huu
Image-construction-500x384.jpg


lcd ya kawaida inakuwa na bulb kabisa kama za ukutani
for-LG-42inch-LCD-backlight-6637L-0017A-PPW-HL42DC-LC420DUN-6916L-1120A-1121A-1122A-1123A-1set.jpg


na oled yenyewe haitegemei mwanga toka nyuma, kioo chenyewe ndio kinatoa mwanga
hqdefault.jpg
Daaaah shukran sana mkuu kwa hii elimu...

Vipi lakin unaweza kumshauri mtu achukue ? Kuna jiran ananiomba ushauri
 
Katika tv ninachojali ni kama nikiunganisha playstation yangu picha inaonekana vizuri zaidi ya hapo sina kazi kubwa na tv.
Ps 5 sokoni ishapungua ?
 
Hii Oled naifanisha na super Amoled wanayotumia sumsung kwenye simu zao, uzuri wa oled ina deep black, sema nayo ni ghali sana around million 2 tv zao zinaanzia, wazalishaji wakubwa wa oled ni LG, sumsung hawazalishi, wandhalisha qled (quantum dot)
Yes sema unaenjoy hii kitu
 
Hii Oled naifanisha na super Amoled wanayotumia sumsung kwenye simu zao, uzuri wa oled ina deep black, sema nayo ni ghali sana around million 2 tv zao zinaanzia, wazalishaji wakubwa wa oled ni LG, sumsung hawazalishi, wandhalisha qled (quantum dot)
exactly, super amoled ni marketing term ya vioo vya oled vya samsung.

kuna tech inakuja inaitwa Micro led hii itakuwa superior kwa oled
 
Back
Top Bottom