Sumaye: Tujitahadhari 'wauza unga' wasije wakaongoza nchi

Sumaye: Tujitahadhari 'wauza unga' wasije wakaongoza nchi

Bado kidogo ukisafiri na passport ya Tanzania utapigwa marufuku kuingia nchi husika,kwa ajili ya madawa ya kulevyia,tutawekwa kwenye red list,mpaka viongozi watasachiwa.
 
Kwn EL na unga anauza pia?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Fedha anazogawa ni lazima zimetokana na haramu. Haramu gani? Hii haramu ambayo mpinzani wake wa urais anatudokeza. Inawezekana haka kajamaa kanadili na hii kitu aisee.
 
Kwahiyo Sumaye anataka watu waamini kwamba pesa anazogawa zinatokana na biashara za madawa ya kulevya?

Kweli mtandao wa Urais ndo chanzo cha matatizo...Lowassa asingekuwa anataka Urais Sumaye angemtolea kashfa hizi?
 
WATAJWE TU HATA KAMA NI SERIKALI YOTE ITAJWE TU, AU BUNNGE LOTE WATAJWE TU, Amina Chifupa RIP
 
Huyu jamaa kuutaka uraisi unamfanya abwabwaje!. Kwa nini asipumzike tu?. Au udhaifu wa serikali iliyopo madarakani una mpa hope kwamba hata yeye aweza kuwa raisi.?
 
Sumaye ulikamata kiwanda cha unga kunduchi enzi hizo,kesi iliishia wapi? Sumaye huna usafi wowote wala hauuziki ktk urais

mtambo uliokamatwa ulipelekwa NIMR kitengo cha traditional medicine hata hivyo sio sehem yote ya mtambo manake mwinine bado uko pale central police ingawa tayari NIMR wameshakabidhiwa.
 
Madawa ya kulevya yamefika pabaya baada watoto wa viongozi wakuu kujihusisha na madawa ya kulevya..
 
kama anawaogopa aniwasilishie majina na vielelezo vyote mimi nitawataja hadharani na wala sitatoa siri yake najua yupo humu tuwasiliane.
 
Lowasa acha kuuza madawa ya kulevya, Kisutu inakuita.
Majini ya TB Joshua yamekukataa.
 
Huu ujinga wa kuogopa kutajana utaisha lini? Hivi huyu Sumaye asipowataja hao wauza, unga mpiga kura atawajuwaje? Na akiwachaguwa na huku hakujajiwa watamlaumu nani..???

Hebu cheki
1. Raisi alisema anawajuwa wae wezi wa bandari..... HAKUWATAJA
2. Raisi anawajuwa waliorudisha fedha za EPA.... HAKUWATAJA
3. Alisema akiwa kanisa la RC jimbo la Mbinga kuwa anawajuwa wauza unga..... HAKUWATAJA
4. Nape alisema anawajuwa magamba na akawapa siku tisini .... HAKUWATAJA
5. pinda alisema bungeni, Meremeta watatikisa nchi.... HAKUWATAJA
6. Sumaye naye anataka tusiwachague wauza unga kuwa viongozi.... HAJAWATAJA
7. Wanasemasema tu kuwa uchaguzi wa ndani ya CCM mara zote huwa unagubikwa na rushwa.... HAWAWATAJI HAO WALA RUSHWA, LAKINI NA HAO WALA RUSHWA WANAENDELEA TU KUWA MADARAKANI

Tutabaki kutaka huruma ya wananchi kwa kujifanya tunawaonea huruma akina Ray C na wengine wakati waliowafikisha hapo HATUWATAJI
kwa kila mmoja anayeitakia Tanzania neema na amani ni kuikataa ccm na haijalishi ni katika ngazi gani bali mimi au wewe unapomuelimsha mtu mmoja tu kujua kuwa tatizo la nchi hii ni ccm kimsingi unakuwa umeshiriki zoezi muhimu sana na gumu la kuikomboa nchi hii.
Chukulia mfano mmoja tu, cdm walisema wala rushwa wakuu na wakaitisha mkutano wa hadhara na kuwataja. Waliotishia kwenda mahakamani hawakufanya hivyo lakini leo mwananchi wa kawaida anawajua ni akina nani.
 
Sumaye anatapata anatafuta huruma kwa wananchi, wakati Waziri Mkuu alikamata wauza unga wa ngapi.

Sumaye, mwenzako Lowassa, mjanja kaanzia mbali kutafuta urais wewe unalalamika tu pambana ingia front.

Sumaye wakati wa uongozi wenu unga umeingia sana Tanzania mateja kila sehemu.
 
Maelezo ya Sumaye yamejitosheleza kabisa. Ni watanzania tuwe makini na EL.

Msifupishe hilo jina mnawafanya wageni humu jamvini wasielewe ni nani huyo hasa anayezungumziwa.
Mlengwa hapa dhidi ya kauli ya Sumaye ni LOWASSA.
 
UJI NGA mwingine, Biashara ya Unga imeanza awamu ya Nne? If no, Atutajie majina ya wauza unga wakubwa na mashuhuri ambao akiwa waziri mkuu walihukumiwa vifungo? Huyu Sumaye akiwa waziri mkuu, alizubaa mpaka Nkapa akauza kiwira, wizi wa EPA ukatokea na Ikulu iligeuzwa genge la Mafisadi, leo anajifanya mlokole. Kama alishindwa akiwa kijana mwenye nguvu, ataweza uzeeni?
Cha ajabu nikuwa, akikamatwa mtu mdogo na gari la wizi, watatafuta up direction mpaka wampate nguli wa mambo hayo... Lakini suala la madawa, mateja wanawafahamu tena wengine wanakutana na raisi (e.g RAY C), kwa nini wasianze na hao mateza mpaka wakawafikia manguli wa shughuri hii..??? Hii inaonyesha kuwa wakubwa a.k.a vigogo wa nchi hii ndo wafanya biashara wakubwa wa madude hayo... NA HAYA MADUDE YANAKOTUPELEKA NI KUKABIDHI BANDARI ZOTE KWA WACHINA... Kwani nani asiyependa kumuokoa mtoto wake toka kwenye kifo..??

 
Maelezo ya Sumaye yamejitosheleza kabisa. Ni watanzania tuwe makini na EL.
kwani Sumaye hazitaki kucha na meno yake? kama JK anawajua na hazitaki unategemea nini? Amina Kifupa yuko wapi? Mwakwembe atasema mengi anayajua akiyataja bunge hakukaliki policcm kapewa njia wanatumia kuzuru wenye ndomo tetea haki file limekariwa
 
''Yani watoto zako na wa'watu wakumbwa wenzako hawatapata sehemu ya kuiba??''
lakini sie watoto wa'mkulima hatujawa considered apo kwenye hiyo kauli,., EMBU ISOMENI TENA KWAUMAKINI KAULI YAKE.
 
Cha ajabu nikuwa, akikamatwa mtu mdogo na gari la wizi, watatafuta up direction mpaka wampate nguli wa mambo hayo... Lakini suala la madawa, mateja wanawafahamu tena wengine wanakutana na raisi (e.g RAY C), kwa nini wasianze na hao mateza mpaka wakawafikia manguli wa shughuri hii..??? Hii inaonyesha kuwa wakubwa a.k.a vigogo wa nchi hii ndo wafanya biashara wakubwa wa madude hayo... NA HAYA MADUDE YANAKOTUPELEKA NI KUKABIDHI BANDARI ZOTE KWA WACHINA... Kwani nani asiyependa kumuokoa mtoto wake toka kwenye kifo..??


Binti umepona sasa? Basi endelea kubwia biashara isidode.

ImageUploadedByJamiiForums1374650921.763503.jpg
 
Hamana kitu humo,ni wale wale tu.....hakuna mwana ccm mwenye unafuu,wote ni majanga,wanajifanya kutupiana vijembe kumbe wote ni wale wale tu
 
Back
Top Bottom