Frank Sojo
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 343
- 97
Wakati tume maalumu ya kuchunguza kiini cha matokeo mabaya ya kidato cha nne mwaka huu bado inaendelea na kazi hiyo,Wazir mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amesema matokeo hayo mabaya kwa kiasi kikubwa yamechangiwa na serikali yenyewe....
Sumaye ametaja sababu kuu nne kuwa ni moja,mfumo wa upanuzi wa Elimu ya sekondari uliofanywa na serikali bila maandalizi ya kutosha,
Pili,kutozingatiwa kwa dira ya taifa ya maendeleo 2025,
Tatu,Ni serikali kushughulikia matatizo ya jumla ya watumishi wa umma kwa kisekta!
Nne,Ni serikali kushughulikia mgomo wa walimu kimakosa,
Kuhusu upanuzi wa elimu sumaye anasema,"Tatizo hili la kufeli linaweza kuwa limesababishwa na mfumo wetu ma upanuzi wa elimu ya sekondari,kuna dalili kuwa tumepanua mfumo wetu wa elimu bila maandalizi muhimu ya walimu,vifaa vya kufundishia,vitabu na hata majengo yanayokidhi haja,hali hii lazima itatoa elimu duni".
Source:Raia Mwema.
My Take:
Mfumo huu mbovu umeanza wakati gani? Je si wakati wa serikali ya awamu ya Tatu kwa kuua michepuo? Je wakati huo Sumaye akiwa Waziri mkuu hakuyaona haya?
Tutafakari!
Sumaye ametaja sababu kuu nne kuwa ni moja,mfumo wa upanuzi wa Elimu ya sekondari uliofanywa na serikali bila maandalizi ya kutosha,
Pili,kutozingatiwa kwa dira ya taifa ya maendeleo 2025,
Tatu,Ni serikali kushughulikia matatizo ya jumla ya watumishi wa umma kwa kisekta!
Nne,Ni serikali kushughulikia mgomo wa walimu kimakosa,
Kuhusu upanuzi wa elimu sumaye anasema,"Tatizo hili la kufeli linaweza kuwa limesababishwa na mfumo wetu ma upanuzi wa elimu ya sekondari,kuna dalili kuwa tumepanua mfumo wetu wa elimu bila maandalizi muhimu ya walimu,vifaa vya kufundishia,vitabu na hata majengo yanayokidhi haja,hali hii lazima itatoa elimu duni".
Source:Raia Mwema.
My Take:
Mfumo huu mbovu umeanza wakati gani? Je si wakati wa serikali ya awamu ya Tatu kwa kuua michepuo? Je wakati huo Sumaye akiwa Waziri mkuu hakuyaona haya?
Tutafakari!