Kasahau?
Tutamkumbusha neno luku limeanza kwa mradi wa kifisadi wa speed governor..ulobatizwa luku..huu ulikua mradi wake.
Pia mradi wa kukamata magari bila sababu za msingi wa majembe ulikua wake
Amesahau mashoga zake ? Nyumbani kwake wahindi walikua hawatoki?
Kuna mashamba kule moro !
NBC na mabenki yaliuzwa akiwa waziri mkuu
Nyumba za serikali wamejisaidia wapendavyo..
Kuna msemo nyani hsini k......