Sumaye kuwa Katibu Mkuu CHADEMA?

Sumaye kuwa Katibu Mkuu CHADEMA?

Singwa

Member
Joined
May 26, 2011
Posts
65
Reaction score
25
WanaJF
Waziri mkuu mstaafu Mh Frederick Sumaye amejiunga rasmi na CHADEMA mjini Arusha kwenye mkutano wa kufunga kampeni za kumnadi Godbless Lema.

Haya ni maandalizi ya awali ya kumwandaa Sumaye kushika nafasi ya ukatibu mkuu wa CHADEMA, nafasi iliyoachwa na Dr. Slaa.

Tusubiri
 
Hizi ni habari za uhakika kabisa... Na hauto fanyika uchaguzi bali atapewa hicho kiti kwakuwa ni mtu wa Mgombea Urais..
Hili ni deni lingine ambalo chadema wanamlipa Lowasa..
 
Tukiachana na dhana kulipa fadhila au deni. Je Sumaye anafaa au hafai? Je ataweza kuongoza mapambano kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake Dr Slaa ingawa aliamua kukabidhi silaha kwa adui?
 
Tukiachana na dhana kulipa fadhila au deni. Je Sumaye anafaa au hafai? Je ataweza kuongoza mapambano kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake Dr Slaa ingawa aliamua kukabidhi silaha kwa adui?

Anafaa Sana Sana sanaaaaa
 
Tukiachana na dhana kulipa fadhila au deni. Je Sumaye anafaa au hafai? Je ataweza kuongoza mapambano kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake Dr Slaa ingawa aliamua kukabidhi silaha kwa adui?

Unaanzisha mpambano kumbe ni chapa kuzuga huyo ni mpambanaji wa wapi
 
Hizi ni habari za uhakika kabisa... Na hauto fanyika uchaguzi bali atapewa hicho kiti kwakuwa ni mtu wa Mgombea Urais..
Hili ni deni lingine ambalo chadema wanamlipa Lowasa..

Mkuu hivi mpaka leo bado unaacha akili zako kwenye vmakabati ya Nepi pale Lumumba?

Jitahidi uwe unatoroka mara mojamoja utaendelea kuwa kituko mpaka lini? Siamini kama hujui utaratibu wa upatikanaji wa Katibu mkuu ndani ya Chadema.... Siamini.

Hivi umemwona Laki si pesa wa leo? Wewe unasubiri nini? Jiongeze.

BACK TANGANYIKA
 
Hizi ni habari za uhakika kabisa... Na hauto fanyika uchaguzi bali atapewa hicho kiti kwakuwa ni mtu wa Mgombea Urais..
Hili ni deni lingine ambalo chadema wanamlipa Lowasa..

Punguza majungu wewe tunakujua kwa propaganda za maji taka. Post zako zote zimekaa kimajungu na ID zaidi ya 25 humu.
 
Hizi ni habari za uhakika kabisa... Na hauto fanyika uchaguzi bali atapewa hicho kiti kwakuwa ni mtu wa Mgombea Urais..
Hili ni deni lingine ambalo chadema wanamlipa Lowasa..

Siku zote huna akili! Kinana alichaguliwa na nani? Hivi Mwenyekiti wa CCM huwa anachaguliwa na nani? Aliyeshika nafasi ya pili wakati wa kumchagua JK kuwa mwenyekiti wa CCM alikuwa nani? Je wakati wa Mkapa?
Narudia tena, huna akili!
 
'Chadema hatugawani vyeo bali majukumu'- Mbowe. Na sie wa Nyanda wa nyanda za juu kusini tunahitaji 'Majukumu' kama haya ya Sumaye anayopewa sio kila siku kufagilishwa barabara na kuzungusha mikono.
 
Hizi ni habari za uhakika kabisa... Na hauto fanyika uchaguzi bali atapewa hicho kiti kwakuwa ni mtu wa Mgombea Urais..
Hili ni deni lingine ambalo chadema wanamlipa Lowasa..

Ficha upuuzi wako Ruta. Ktb mkuu anapatikanaje?
 
Sumaye ni Mpambanaji atatufaa sana Kamanda Sumaye chukua Ukatibu Uwanyooshe CCM
 
WanaJF
Waziri mkuu mstaafu Mh Frederick Sumaye amejiunga rasmi na CHADEMA mjini Arusha kwenye mkutano wa kufunga kampeni za kumnadi Godbless Lema.

Haya ni maandalizi ya awali ya kumwandaa Sumaye kushika nafasi ya ukatibu mkuu wa CHADEMA, nafasi iliyoachwa na Dr. Slaa.

Tusubiri

naona wameamua kupigilia msumari wa mwisho chadema, kwa mtaji huu wa Mr Zero chadema ndio itapotea kabisaaa. mnawachezea wananchi kwa faida yenu naona.
 
Back
Top Bottom