Chakaza
Platinum Member
- Mar 10, 2007
- 41,009
- 74,643
Nimesikia kutoka magazetini redioni Leo kuwa Sumaye kasema eti atazunguka nchi nzima kumpigia kampeni Magufuli kwa mujibu wa gazeti la Uhuru.
Gazeti hilo huwa siliamini lakini kama ni kweli basi ile heshima uliyokuwa umeitunza tokea ustaafu u PM miaka 10 iliyopita ndio ndio unaenda kuifuata na kuanzisha kipindi kipya cha aibu kwako na family.
Ualiyokukuta ndani ya chama hicho miaka hii michache iliyopita nilidhani ni funzo kwako kumbe ni saw a na kumpigia mbuzi gitaa. Hutakiwi humo na genge lililoshika chama sasa hivi. Labda ulipokuwa PM Luna kitu ulimfanyia huyu jamaa Jaye kwa vile ni wa visasi anakukomoa,pengine ile kauli yako ya kutumia kalamu kuingia na kutotoka kutumia bunduki ndio imekuponza.
Achana nao hao,kaa zako pembeni Fanya shughuli zingine za manufaa kwa nchi usije end a ukaibua madhaifu ya historia yako kama Mkapa mule Arumeru bure!
Usitoke CCM maana itakapo sambaratika baada ya uchaguzi, mtawafukuza hao wahuni na nyie ndio mtajenga chama imara cha upinzani nchi hii.
Gazeti hilo huwa siliamini lakini kama ni kweli basi ile heshima uliyokuwa umeitunza tokea ustaafu u PM miaka 10 iliyopita ndio ndio unaenda kuifuata na kuanzisha kipindi kipya cha aibu kwako na family.
Ualiyokukuta ndani ya chama hicho miaka hii michache iliyopita nilidhani ni funzo kwako kumbe ni saw a na kumpigia mbuzi gitaa. Hutakiwi humo na genge lililoshika chama sasa hivi. Labda ulipokuwa PM Luna kitu ulimfanyia huyu jamaa Jaye kwa vile ni wa visasi anakukomoa,pengine ile kauli yako ya kutumia kalamu kuingia na kutotoka kutumia bunduki ndio imekuponza.
Achana nao hao,kaa zako pembeni Fanya shughuli zingine za manufaa kwa nchi usije end a ukaibua madhaifu ya historia yako kama Mkapa mule Arumeru bure!
Usitoke CCM maana itakapo sambaratika baada ya uchaguzi, mtawafukuza hao wahuni na nyie ndio mtajenga chama imara cha upinzani nchi hii.