GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Wanabodi,
Ule usemi mkuki kwa nguruwe lakini kwa binadamu mchungu umetimia kwa huyu Mzee Fredrick Sumaye
Mzee Frederick Sumaye anahubiri demokrasia kwa wengine lakini ikitumika kwake na kuleta matokeo asiyoyatarajia anayaiita sio demokrasia
Mzee Sumaye uliingia kwenye kamati kuu ya Chadema bila kupigiwa kura wala hakuna mtu aliyehoji hata wewe mwenyewe ulikaa kimya, Je wewe kuingia kwenye kamati kuu ilikuwa demokrasia kwako wakati yu mgeni kwenye chama cha Chadema?
Sumaye alisimamia mchakato wa kuchagua mwenyekiti wa Bavicha mkuranga mwaka 2017 huku mgombea wa kiti hicho alikuwa mmoja tu Bwana Jerry kilenge , Kura za ndio au hapana zilipigwa na mgombea husika alishindwa mara ya kwanza kwa kura za hapana kuzidi kura za ndio
Mzee Sumaye kama Msimamizi wa uchaguzi huo alirudia uchaguzi huo mara tatu bali kura za hapana mara zote tatu zilizidi kura za ndio hivyo nafasi ikabaki wazi
Je? Mzee Sumaye mbona hakumtetea Bwana Jerry kilenge mgombea pekee wa uenyekiti wa Bavicha Mkuranga aliyeshindwa vibaya mkuranga chini ya usimamizi wake
Je? Mzee Sumaye amesahau haya yote au Yeye pekee alihitaji apigiwe kura za ndio
Peter Msigwa mwaka 2017 alikuwa mgombea wa uenyekiti pekee kanda ya Nyasa na alipigiwa kura za ndio au Hapana, Alipita kwa ushindi mwembamba sana wa asilimia 52% huku point zinazotakiwa ni kuanzia asilimia 50%, Je Sumaye hukuyaona haya
Mzee Sumaye alipoenguliwa mgombea mwezake wa uenyekiti kanda ya Pwani Bwana John Haule alipiga makofi akijiona sasa amebaki peke yake, Mzee Sumaye ulikaa kimya ukifurahia kuwa John Haule mshindani wako hana sifa za kushindana na wewe, Mbona hili tukio hujalizungumza
Kuna mambo yanafikirisha na kuchekesha sana hasa mtu anapoongelea mambo kwa kusahau kutunza kumbukumbu kichwani.
Mzee Sumaye bado anafikiria yeye ni Waziri mkuu hivyo kupigiwa kura za ndio ni lazima na ni heshima kwake
Mzee Sumaye bado anafikiria uchaguzi na mifumo ya CCM kuwa ukibaki peke yako lazima utangazwe mshindi na umepita bila kupingwa, Chadema kupita bila kupingwa hakuna na yeye ni moja wa Mtu aliyesimamia mifumo ya ndio au hapana Chadema
Je, zile ajenda na Propaganda za siri ulizokuwa unatuhumiwa kuwa unatafuta kuwa mwenyekiti ili chama cha Chadema kidhoofike ni kweli?
Kwanini nafasi ya uenyekiti wa chama inakuumiza sana wewe pamoja na wanaccm wenzako uliowahama mwaka 2015
Mzee Sumaye maumivu ya uenyekiti wa Chadema unayopata ndio hayo hayo viongozi wako wa zamani ccm wanayapata, Kwanini mnaumia kwa pamoja wewe na wana ccm wenzako?
Ule usemi mkuki kwa nguruwe lakini kwa binadamu mchungu umetimia kwa huyu Mzee Fredrick Sumaye
Mzee Frederick Sumaye anahubiri demokrasia kwa wengine lakini ikitumika kwake na kuleta matokeo asiyoyatarajia anayaiita sio demokrasia
Mzee Sumaye uliingia kwenye kamati kuu ya Chadema bila kupigiwa kura wala hakuna mtu aliyehoji hata wewe mwenyewe ulikaa kimya, Je wewe kuingia kwenye kamati kuu ilikuwa demokrasia kwako wakati yu mgeni kwenye chama cha Chadema?
Sumaye alisimamia mchakato wa kuchagua mwenyekiti wa Bavicha mkuranga mwaka 2017 huku mgombea wa kiti hicho alikuwa mmoja tu Bwana Jerry kilenge , Kura za ndio au hapana zilipigwa na mgombea husika alishindwa mara ya kwanza kwa kura za hapana kuzidi kura za ndio
Mzee Sumaye kama Msimamizi wa uchaguzi huo alirudia uchaguzi huo mara tatu bali kura za hapana mara zote tatu zilizidi kura za ndio hivyo nafasi ikabaki wazi
Je? Mzee Sumaye mbona hakumtetea Bwana Jerry kilenge mgombea pekee wa uenyekiti wa Bavicha Mkuranga aliyeshindwa vibaya mkuranga chini ya usimamizi wake
Je? Mzee Sumaye amesahau haya yote au Yeye pekee alihitaji apigiwe kura za ndio
Peter Msigwa mwaka 2017 alikuwa mgombea wa uenyekiti pekee kanda ya Nyasa na alipigiwa kura za ndio au Hapana, Alipita kwa ushindi mwembamba sana wa asilimia 52% huku point zinazotakiwa ni kuanzia asilimia 50%, Je Sumaye hukuyaona haya
Mzee Sumaye alipoenguliwa mgombea mwezake wa uenyekiti kanda ya Pwani Bwana John Haule alipiga makofi akijiona sasa amebaki peke yake, Mzee Sumaye ulikaa kimya ukifurahia kuwa John Haule mshindani wako hana sifa za kushindana na wewe, Mbona hili tukio hujalizungumza
Kuna mambo yanafikirisha na kuchekesha sana hasa mtu anapoongelea mambo kwa kusahau kutunza kumbukumbu kichwani.
Mzee Sumaye bado anafikiria yeye ni Waziri mkuu hivyo kupigiwa kura za ndio ni lazima na ni heshima kwake
Mzee Sumaye bado anafikiria uchaguzi na mifumo ya CCM kuwa ukibaki peke yako lazima utangazwe mshindi na umepita bila kupingwa, Chadema kupita bila kupingwa hakuna na yeye ni moja wa Mtu aliyesimamia mifumo ya ndio au hapana Chadema
Je, zile ajenda na Propaganda za siri ulizokuwa unatuhumiwa kuwa unatafuta kuwa mwenyekiti ili chama cha Chadema kidhoofike ni kweli?
Kwanini nafasi ya uenyekiti wa chama inakuumiza sana wewe pamoja na wanaccm wenzako uliowahama mwaka 2015
Mzee Sumaye maumivu ya uenyekiti wa Chadema unayopata ndio hayo hayo viongozi wako wa zamani ccm wanayapata, Kwanini mnaumia kwa pamoja wewe na wana ccm wenzako?