Sumaye haeleweki anachosimamia

Sumaye haeleweki anachosimamia

ndo maana wengi mnafeli mitihani mashuleni kutokana na ufahamu mdogo wa kutokujua kupambanua mambo mnapenda ushabiki pasipokujua kuwq elimu ndio mkombozi wako wa maisha na ndio itakayokufanya uchukie umaskini,hebu toroka uje UKAWA
 
Kwa kweli nimekuwa najiuliza alikuwaje pm kwa miaka 10? ni MNAFIKI, MBEYA, na MUONGO.
Eti pale kawe akasema eti sisiemu WALITUAHIDI maisha bora ila mpaka sasa bado, kweli? hii kitu ni ya yeye kusema hivyo? NIMEMDHARAU sana huyu babu. Yeye kawa pm wa sisiemu juzi juzi tu kwa miaka 10, leo anaongea pumba!
 
Mimi huwa simuelewi anayoyaongea ,mfano akieleza kuwa ccm haijawafanyia kitu wananchi basi miongon wa kuwalaumu ni yeye kwakuwa alikuwa miongoni mwao tena PM ,ndio maana kiongozi mmoja mstaafu akaamua kuwaita malofa, neno halikuwahusu wana chadema wote ,sasa nawao wameamua kujiita hivyo,
 
Wewe ndio umejidhalilisha kwa kuleta hii mada umekuwa icon wa chuki na unafiki. Baada ya oct 25 utajuta sana
 
Pia tumshangae na LODI LOFA, aliwezaje kumteuwa lofa na mpumbafu kuwa waziri mkuu wake kwa miaka kumi!

Huku na yy akijua ni mr.zero
na pia anataka tena awe kiongozi maana maneno yke mwenyewe kasema ukahawa hawana uzoefu..yy ameenda kutumia uzoefu wake ambao unajulikana kwa ubazilifu na unyonyaji..
 
Inawezekana we ndo huelewi anachosema.kama mjinga mwenzio amechangia upuuzi wako eti sumaye alisema hakuna ccm ilichofanya.yeye na ujinga wake kama wewe kadai hamwelewi anachosema.kisa alikuwa pm,kwa kuwafungua tu tatizo sio kuwa pm.tatizo mfumo,hata huyu anayetisha watu majukwaani anajiapiza bure ameshaambiwa alinde maslahi ya chama.....angalieni vitu kwa undani msiangalie juu juu tu.
 
Inawezekana we ndo huelewi anachosema.kama mjinga mwenzio amechangia upuuzi wako eti sumaye alisema hakuna ccm ilichofanya.yeye na ujinga wake kama wewe kadai hamwelewi anachosema.kisa alikuwa pm,kwa kuwafungua tu tatizo sio kuwa pm.tatizo mfumo,hata huyu anayetisha watu majukwaani anajiapiza bure ameshaambiwa alinde maslahi ya chama.....angalieni vitu kwa undani msiangalie juu juu tu.

Zaidi ya 80% viti maalumu CDM vimepatikana kidugu,kujuana,k'uchumba,k'ch'g'.Halafu mnazungunzia mifumo,kama si uendawazimu kitu gani?
 
Kwa kweli itabidi tushangae pia mtu kma hyu aliwezaje kuwa pm kwa kipindi kirefu hicho
Niliwahi kumsikia akisema kwamba yeye na Mh.Mkapa walikuwa anafanya mambo yao kimya kimya bila ya kuhitisha press conferences au kujitapa tapa,aliongezea kusema watumishi wabovu wengi walikuwa wahachishwa kazi kimya kimya,pamoja na mapungufu ya hapa na pale ya Mh.Sumaye mambo mengine nakubaliana nae - wakati wa uongozi wa Mh.Mkapa Taifa letu lilirudisha heshima na kuweza kuaminiwa tena na wafadhili, mambo ya rushwa lakini hayakuwa na kasi na kiwango cha hivi sasa -hali inatisha kweli kweli PCCB hipo hipo tu kwa jina wanakazania kuwashika dagaa lakini hawana ubavu wa kuwashtaki ma mafia na waharifu sugu sasa hapo nashindwa kuelewa kama wanakwama kutokana na shinikizo la kisiasa au nini sijui! Mh.Magufuli akibahatika kushika madaraka sekta hii anapaswa kuifumua na kuihunda upya na ahakikishe ma CEO wanakuwa madarakani kwa term moja tu ya miaka mitano.

Narudia kusema Mh.Mkapa na Mh.Sumaye Taifa letu waliliweza sana Kiuchumi na kinidhamu,kiongozi atakaye kuja anapaswa kuhiga na sehemu nyingine kuboresha zaidi ya Mh.Mkapa na Sumaye-we need a semi-dictator to run our Country ili aweze kurudisha nidhamu katika sekta ZOTE.
 
huyu jamaa amejidhalilisha sana,amekuwa icon ya unafiki na uchu wa madaraka,atajuta sana baada ya october

Sio amejidhalilisha tu - ni mmoja wa watu waliotupotezea miaka kumi yetu Watanzania. Magufuli akiingia madarakani asiwaache watu kama hawa. Kumbe walivyokuwa madarakani walijua kabisa hakuna wanachokifanya (kama anavyohubiri yeye mwenyewe) - ila waling'ang'ania tu kubebwa na mabenzi na kuchukua mishahara ambayo sisi tunailipia kodi - wakati hakuna wanacho deliver kwa ajili ya Watanzania.
 
Back
Top Bottom