Inaelekea wewe hukumpata vizuri Sheikh Yahya Hussein! The following morning atakuwa marehemu siyo Kisutu.:frown:
Kha! Bradha, kumbe wewe ni mmoja wa waumini wa shehe feki Yahya?
Hivi kama tutaishi kwa utabiri wa Yahya unadhani nchi tutaipeleka wapi? Badilika bro.
Kikwete ni binadamu ambaye anakosea kama walivyo binadamu wengine, kwa hiyo kupingwa si ajabu na ni haki ya kikatiba ya wanaompinga.