mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,421
- 1,792
Mwambieni huyo Sumaye wenu kuwa akome kusema dini za watu za wavaa hirizi na kusimanga makaburi.Mimi Sumaye simpendi sura yake.
Hata ukimtizama usoni sura imekaa kitapeli tapeli awe anahutubia au kukuangalia usoni unaona kabisa huyu ni kama tapeli
Sumaye na Lowasa hawajui kuhutubia sababu wabebwa bebwa tu kuwa mawaziri wakuu
Acha kuweweseka na kutoka mapovu, punguza jazba.
Ukisema wabebwa una maana wale waliomchagua ni punguani?????
Wana vigezo vya kutosha ndio maana walichaguliwa.
Changia mada acha kuweweseka. CCM siyo baba yako na siyo mama yako.
CCM ilianza na inakuwa na mwisho, hakuna chenye mwanzo kikakosa mwisho. na mwisho wa CCM ndio huu mwaka wake.
Nadhani wewe ni mjumbe wa Nyumba kumi hapo mtaani kwako, hivyo hiyo bendera ya rangi ya kijani yenye nembo ya jembe na nyundo, iweke kabatini kwani kuanzia tarehe 26/10/2015 haina maana tena, ni sawa na Toilet paper tu hiyo.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!