Sumaye asema mchimba kaburi hachoki lazima amalize

Sumaye asema mchimba kaburi hachoki lazima amalize

Haa haa haaaa .toka nizaliwe ndio nimesikia Leo hii methali .hakika ccm inazikwa Mwaka huu.
 
Mh sumaye amewaasa vijana nchini kumalizia kaburi hili la kuizika ccm tarehe 25 oktoba 2015 kwani mkisema mmechoka marehemu anakosa haki yake ya kuzikwa salama

Huyu Mr.zero sumaye sitak hata kumsikia,alimuwa wazir mkuu kibur,jeuri na mwenye lugha za kuhadaa,leo kaanza kufilisika alitaka kurud tena kutupiga wakamkata anawaambia nn,aliyajua hayo kwann alitaka kuingia tena huko angetoka bila kukatwa,mahesabu yake ni kugombea urahis wa nchi hii tena kwa ukawa hilo halipo.hana cha kutuambia sasa tukamuelewa
 
Mh sumaye amewaasa vijana nchini kumalizia kaburi hili la kuizika ccm tarehe 25 oktoba 2015 kwani mkisema mmechoka marehemu anakosa haki yake ya kuzikwa salama

CHADEMA hawawezi pata kura za waislamu wengi sababu ya kufuru kama hizi.Kaburi kwa waislamu ni sehemu ya kuheshimiwa.Kaburi kwa mwislamu ni sehemu adhimu azikwapo mtu sio chama.Kusema kaburi ni la kuzikia chama ni ukafiri uliopindukia.Kila muislamu amemsikia Sumaye na kufuru zake.

Katika hotuba zake zingine alitukana watu wa Pwani kwa kutukana hirizi zao aliposema kuwa kama Kuna hirizi ikulu aondoke Walioko ikulu waondoke nazo ili wao waingie.Hirizi ni imani kama imani ya dini yoyote.Hivi Sumaye hakujua kuwa alipokuwa akihutubia kulikuwa na wavaa hirizi kibao mkutanoni? Anataka kuwaambiaje kuwa hirizi zao mbaya?
Watu wa Pwani wengi hupenda kuvaa hirizi kwa hiyo aligeuza mkutano wa siasa kuwa wa Injili kuwahubiria watu wasivae hirizi ikulu wavae misalaba ya kilutheri?
 
CHADEMA hawawezi pata kura za waislamu wengi sababu ya kufuru kama hizi.Kaburi kwa waislamu ni sehemu ya kuheshimiwa.Kaburi kwa mwislamu ni sehemu adhimu azikwapo mtu sio chama.Kusema kaburi ni la kuzikia chama ni ukafiri uliopindukia.Kila muislamu amemsikia Sumaye na kufuru zake.

Katika hotuba zake zingine alitukana watu wa Pwani kwa kutukana hirizi zao aliposema kuwa kama Kuna hirizi ikulu aondoke Walioko ikulu waondoke nazo ili wao waingie.Hirizi ni imani kama imani ya dini yoyote.Hivi Sumaye hakujua kuwa alipokuwa akihutubia kulikuwa na wavaa hirizi kibao mkutanoni? Anataka kuwaambiaje kuwa hirizi zao mbaya?
Watu wa Pwani wengi hupenda kuvaa hirizi kwa hiyo aligeuza mkutano wa siasa kuwa wa Injili kuwahubiria watu wasivae hirizi ikulu wavae misalaba ya kilutheri?

acha ushamba hata sisi tuna dini zetu.
 
CHADEMA hawawezi pata kura za waislamu wengi sababu ya kufuru kama hizi.Kaburi kwa waislamu ni sehemu ya kuheshimiwa.Kaburi kwa mwislamu ni sehemu adhimu azikwapo mtu sio chama.Kusema kaburi ni la kuzikia chama ni ukafiri uliopindukia.Kila muislamu amemsikia Sumaye na kufuru zake.

Katika hotuba zake zingine alitukana watu wa Pwani kwa kutukana hirizi zao aliposema kuwa kama Kuna hirizi ikulu aondoke Walioko ikulu waondoke nazo ili wao waingie.Hirizi ni imani kama imani ya dini yoyote.Hivi Sumaye hakujua kuwa alipokuwa akihutubia kulikuwa na wavaa hirizi kibao mkutanoni? Anataka kuwaambiaje kuwa hirizi zao mbaya?
Watu wa Pwani wengi hupenda kuvaa hirizi kwa hiyo aligeuza mkutano wa siasa kuwa wa Injili kuwahubiria watu wasivae hirizi ikulu wavae misalaba ya kilutheri?

Utumbo wa samaki, kwani wakristu wanazikwa juu ya miti
kwanini usiielezee tu kiubinadamu hadi uingize dini
 
CHADEMA hawawezi pata kura za waislamu wengi sababu ya kufuru kama hizi.Kaburi kwa waislamu ni sehemu ya kuheshimiwa.Kaburi kwa mwislamu ni sehemu adhimu azikwapo mtu sio chama.Kusema kaburi ni la kuzikia chama ni ukafiri uliopindukia.Kila muislamu amemsikia Sumaye na kufuru zake.

Katika hotuba zake zingine alitukana watu wa Pwani kwa kutukana hirizi zao aliposema kuwa kama Kuna hirizi ikulu aondoke Walioko ikulu waondoke nazo ili wao waingie.Hirizi ni imani kama imani ya dini yoyote.Hivi Sumaye hakujua kuwa alipokuwa akihutubia kulikuwa na wavaa hirizi kibao mkutanoni? Anataka kuwaambiaje kuwa hirizi zao mbaya?
Watu wa Pwani wengi hupenda kuvaa hirizi kwa hiyo aligeuza mkutano wa siasa kuwa wa Injili kuwahubiria watu wasivae hirizi ikulu wavae misalaba ya kilutheri?

Acha udini wewe takataka!
 
acha ushamba hata sisi tuna dini zetu.

Mwambieni huyo Sumaye wenu kuwa akome kusema dini za watu za wavaa hirizi na kusimanga makaburi.Mimi Sumaye simpendi sura yake.

Hata ukimtizama usoni sura imekaa kitapeli tapeli awe anahutubia au kukuangalia usoni unaona kabisa huyu ni kama tapeli

Sumaye na Lowasa hawajui kuhutubia sababu wabebwa bebwa tu kuwa mawaziri wakuu
 
Utumbo wa samaki, kwani wakristu wanazikwa juu ya miti
kwanini usiielezee tu kiubinadamu hadi uingize dini

Kwa hiyo makaburi walutheri nyie huwa mnazikia vyama vya siasa na mchungaji wenu huwa anasomea litulugia? Makaburi hayana heshima kwenu? Unaweza sema kazi ya Kabri ni kuzikia chama? Sio kufuru hiyo?
 
Mh Sumaye amewaasa vijana nchini kumalizia kaburi hili la kuizika CCM tarehe 25 oktoba 2015 kwani mkisema mmechoka marehemu anakosa haki yake ya kuzikwa salama.


Hahaaaa!! Yaani Sumaye anataka amzike mwenzake LOWASSA huko huko kwenye kampeni? Hivi si anajua kuwa LOWASSA ni JENEZA LINALOTEMBEA halafu anaamuru vijana wake wamchimbie kaburi bila kuchoka? Inafurahisha sana.
 
Mwambieni huyo Sumaye wenu kuwa akome kusema dini za watu za wavaa hirizi na kusimanga makaburi.Mimi Sumaye simpendi sura yake.

Hata ukimtizama usoni sura imekaa kitapeli tapeli awe anahutubia au kukuangalia usoni unaona kabisa huyu ni kama tapeli

Sumaye na Lowasa hawajui kuhutubia sababu wabebwa bebwa tu kuwa mawaziri wakuu

CCM OUT,awe ana sura ya utapeli au ahadi mbovu za CCM hatuangalii hilo.
 
CHADEMA hawawezi pata kura za waislamu wengi sababu ya kufuru kama hizi.Kaburi kwa waislamu ni sehemu ya kuheshimiwa.Kaburi kwa mwislamu ni sehemu adhimu azikwapo mtu sio chama.Kusema kaburi ni la kuzikia chama ni ukafiri uliopindukia.Kila muislamu amemsikia Sumaye na kufuru zake.

Katika hotuba zake zingine alitukana watu wa Pwani kwa kutukana hirizi zao aliposema kuwa kama Kuna hirizi ikulu aondoke Walioko ikulu waondoke nazo ili wao waingie.Hirizi ni imani kama imani ya dini yoyote.Hivi Sumaye hakujua kuwa alipokuwa akihutubia kulikuwa na wavaa hirizi kibao mkutanoni? Anataka kuwaambiaje kuwa hirizi zao mbaya?
Watu wa Pwani wengi hupenda kuvaa hirizi kwa hiyo aligeuza mkutano wa siasa kuwa wa Injili kuwahubiria watu wasivae hirizi ikulu wavae misalaba ya kilutheri?

Hiyo inaitwa majaazi hata ktk Quran imetumika kwa mfano Allah anasema "shikamananeni na KAMBA ya ALLA wala msifarikiane"
Sasa kamba hapo maana yake ninini!!!?

Kaburi hapo ni kuitoa CCM madarakani!!

Alafu Kuhusu hirinzi ni haram ktk Uislam ikiwa atavaa mtu wa pwani au bara!
Hirinzi ni ushirikina.
 
Mwambieni huyo Sumaye wenu kuwa akome kusema dini za watu za wavaa hirizi na kusimanga makaburi.Mimi Sumaye simpendi sura yake.

Hata ukimtizama usoni sura imekaa kitapeli tapeli awe anahutubia au kukuangalia usoni unaona kabisa huyu ni kama tapeli

Sumaye na Lowasa hawajui kuhutubia sababu wabebwa bebwa tu kuwa mawaziri wakuu
Mkuu wewe ndiye unawatukana waislamu kwa kusema kuwa ni wavaa hirizi kama walivyo wakristo kwa misaraba hiyo imeandikwa aya gani katika korahani tukufu.
 
We@East AFrican eagle acha udini.
Na kwa kukujibu tu ni kuwa wenzako waislamu wameshaamua kutoipigia kura CCM kwa wanavhowafanyia kina Ponda! Peke yako umebaki. Ni juzi tu niko pale mwenge nje ya msikiti tunapiga story za siasa baada ya sala akaja Mzee mmoja kama baba Yangu akitoka msikitini akaungana nasi kwenye story basi anasema mbona waislamu tushatumiana sms kitambo kuwa kura CCM no!! Wametutumia sana mwaka huu no na meseji akatuonyesha!! Sikuamini but ndio ukweli huo hizi porojo za tafiti za redet na twaweza na undugu wao kwa riz moko January na mkwere havitawasaidia kabisa mwaka huu
 
Mwambieni huyo Sumaye wenu kuwa akome kusema dini za watu za wavaa hirizi na kusimanga makaburi.Mimi Sumaye simpendi sura yake.

Hata ukimtizama usoni sura imekaa kitapeli tapeli awe anahutubia au kukuangalia usoni unaona kabisa huyu ni kama tapeli

Sumaye na Lowasa hawajui kuhutubia sababu wabebwa bebwa tu kuwa mawaziri wakuu

uislam sio hiriz bali n iman na tamadun zetu za waafrika kiukwel alilopoka kwa mhemko wa kisiasa
 
chadema hawawezi pata kura za waislamu wengi sababu ya kufuru kama hizi.kaburi kwa waislamu ni sehemu ya kuheshimiwa.kaburi kwa mwislamu ni sehemu adhimu azikwapo mtu sio chama.kusema kaburi ni la kuzikia chama ni ukafiri uliopindukia.kila muislamu amemsikia sumaye na kufuru zake.

Katika hotuba zake zingine alitukana watu wa pwani kwa kutukana hirizi zao aliposema kuwa kama kuna hirizi ikulu aondoke walioko ikulu waondoke nazo ili wao waingie.hirizi ni imani kama imani ya dini yoyote.hivi sumaye hakujua kuwa alipokuwa akihutubia kulikuwa na wavaa hirizi kibao mkutanoni? Anataka kuwaambiaje kuwa hirizi zao mbaya?
Watu wa pwani wengi hupenda kuvaa hirizi kwa hiyo aligeuza mkutano wa siasa kuwa wa injili kuwahubiria watu wasivae hirizi ikulu wavae misalaba ya kilutheri?
umelogwa
 
Kwa hiyo makaburi walutheri nyie huwa mnazikia vyama vya siasa na mchungaji wenu huwa anasomea litulugia? Makaburi hayana heshima kwenu? Unaweza sema kazi ya Kabri ni kuzikia chama? Sio kufuru hiyo?

Relax mambo hayapo serious kiivo, ccm itakufa na itazikwa kaburini
 
Back
Top Bottom