Wapi hebu uweke huo ushahidi wa mimi kubadili gia angani, hawa hawakustahili kukaribishwa Chadema hata kwa sekunde moja.. Bado naamini kwamba Chadema ilifanya makosa makubwa sana kuwakaribisha hawa watu wawili na wengine toka MACCM. Bado naamini iko siku wanaweza kabisa kurudi CCM na magwanda yao na kadi za CCM bado zimehifadhiwa vizuri majumbani mwao. Hakuna unafiki mahali popote pale.