Sumaye amgwaya Lowassa!

Kwenye uchaguzi kwao pesa haiku tumika?

 
ni zaidi ya mary nagu walitoa rushwa nchi nzima isipokuwa kwa staili tofauti ndicho alichokisema PM mstaafu kuwa ccm wametumia rushwa na uchafu mwingine nchi nzima ktk uchaguzi wao wa ndani.
ccm mpoooo?poleni sana je 2015 itakuwaje?
tusubiri tuone!

Fanyeni kama Ubungo, fedha za mama zililiwa na ubunge anauonea kwenye TV tu
 
hakika kwa staili hii ya kulielezea suala makini kimdhahamdhaha, naomba usioteshwe kuwa mgombea maana tutakula hasara kwa mara nyingine, ushauri wangu kwako PM Mstaafu kama haupo tayari kugeuka na kuipigania haki ya mtanzania ni vyema ukapumzika tu na kujilia pensheni yako taaratibu, tuachie wenye uchungu na nchi yetu tuijenge upya maana mmeibomoa vya kutosha!
 
Huyu jamaa hana jipya ni muoga sana
kama hao waandishi walipewa bahasha basi itakuwa ni baada ya hiki kituko, other wise wangeondoka waka muacha peke yake kabla ya kumaliza. unaweza kudhani unaota
 
CCM in mambo ya kipuuzi sana....na wanachama wake wapuuzi pia.

Sasa huyu zero kaongea nini....
 
Na sisi ambao si waandishi na hizo bahasha hatuchukui? Katupotezea muda, hiki si kitu cha kuitisha mkutano na waandishi na kuongea. Hakuna jipya hapa. Natoka wakuu

pole sana Mkuu, Tunakushukuru kwa kazi nzuri ya coverage!

Sumaye ni wale wale...kwa hiyo hapa amehalalisha matumizi ya rushwa, kwa sababu hajachukua hatua wala maamuzi yoyote, Wala hakati rufaa kupinga. Na kibaya zaidi aneamua kumsafisha Lowasa; magazeti yaliandika yeye Sumaye alilalamika kuangushwa Na mtandao Wa Lowasa Lakini leo anamtetea, sasa aliangushwa na mtandao gani? mbona hataji mtu au hii mitandao ya rushwa?
mwenye macho haambiwi tazama...
 
huyu sumaye hajitambui hata kidogo. Anafikiri Tanzania yuko peke yake. Hes just m***king stu**d guy
 
Yan sisimweli kwa mafumbo wako vizri, kwa hiyo kawaita waandishi kueleza hasara ya rushwa?

Sumaye:
Rushwa inatengeneza wawakilishi wa mtu ama watu na si wawakilishi wa umma... Rushwa inadhalilisha watu na chama
 
Sumaye anaanza kuongea saa ngapi?
 
Ana hang over ya kukosa nafasi ccm huyu! Hivi kama angekuwa amepata angekuja kufanya press conference na kuongelea hayo anayo ongea?!

wel daid mkuu!

Sumaye hajitambui up nw coz kakosa alichokitaka.
 
Nawaonea huruma waliotegemea jipya.

Halafu mbona kukiwa na chaguzi za CCm mishahara inachelewa? au walitukopa, naomba watupe riba basi.
 
Huu ni unafiki kabisa sasa kwa nini asiwataje walio tumia pesa?
 
Angetulia zake ale mafao yake kimya kimya!hana jipya!wala sijawahi kuona mvuto wake tangu hata akiwa PM,angepumzika zake siasa angeheshimika zaidi!nadhan muongo huu si wa wake tena,ashukuru BWM alimuona akampa PM la sivyo hakuwa bora sana kipindi kile kuwa PM!hana mvuto kwa mtazamo wangu!
 
Nilisema huyu jamaa hana jipya kabisa ni mnafiki anaye ugulia maumivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…