Sumaye aibuka tena

Sumaye aibuka tena

Huyu ana umuhimu kwako na si katika nchi hii, anayo record ya kuhudumu ktk uwaziri mkuu kwa miaka 10 na katoka hana analojua Zaidi ya kulaumu wenzie ndio maana aliyemchagua kamwita Lofa na Mpumbavu kabisa. Hii ni katika mifano mibaya kabisa.

Napenda sana furaha lakini haidumu na furaha yenu haitadumu mtauona umuhimu wa huyo msemae mr 0
 
Sumaye tunajua sote kuwa ni ziro tu hana jipya labda avae nguo za ndani kichwani ndiyo anaweza kuwa na jipya.
 
Huyu ana umuhimu kwako na si katika nchi hii, anayo record ya kuhudumu ktk uwaziri mkuu kwa miaka 10 na katoka hana analojua Zaidi ya kulaumu wenzie ndio maana aliyemchagua kamwita Lofa na Mpumbavu kabisa. Hii ni katika mifano mibaya kabisa.

Legacy yake kwny U pm ni ndogo kuliko ya Makonda Kinondoni.
 
Acha uongo mkuu we we unaishi nao? Unaijua katiba we we? Kasome katiba ujue kama wana maisha magumu au la lakini Baba yako ana maisha gani kule kijijini?
 
hawa wazee wanatuchora tu wanatuona mabwege sana. mnabahati tu mlitangulia kuzaliwa hapa tanzania lakini mngezaliwa wakati wetu hakuna rangi mngeacha kuona .
 
anazidi kudhhirisha kuwa ni mr.zero.

Alikuwa anajua anashindana na Dola, kabla au baada ya kushindwa !?

Alikuwa Waziri Mkuu kwa miaka 10, hakuweza kuwa na mbinu za kung'amua dola linafanya kazi vipi ili ategue mitego ?........... huyu jamaa kweli 0 !
 
Alikuwa Waziri mkuu miaka kumi sijaona umuhimu wake zaidi ya O nijekuona umuhimu wake Leo!!???
 
Alikuwa anajua anashindana na Dola, kabla au baada ya kushindwa !?

Alikuwa Waziri Mkuu kwa miaka 10, hakuweza kuwa na mbinu za kung'amua dola linafanya kazi vipi ili ategue mitego ?........... huyu jamaa kweli 0 !

Huyu jamaa ni hovyo kweli nadhani hata BEN anajutia kwa kuwa na pm wa aina hiyo ,yaye alisema wangeshinda kwa 85% sas sijui analialia nin
 
Visasi kama kawaida yao, mwisho wa visasi umefika
 
Alianzwa kwa kuitwa zero,yaani mukichwa ni mtupu,akaja maliziwa kuitwa lofa na mpumbafu,nani atamsikiliza zaidi ya malofa,wapumbavu na manyumbu wenzake tatalillaa lallaaa hahhaaa hehehhheee teh teh teheeeeee!!atabaki kuuza sura kwenye magazeti ya kufungia utumbo wa mafungu,kwisha habari yake yaani ni kwishney
 
Hivi baada ya kutoka CCM kajiunga na CHAMA gani cha siasa, nikitajiwa kajiunga Chama gani basi kuanzia leo siyo Mr sifuli O!!!
 
Back
Top Bottom