Usipende slope mtoto wakiumee wewe,kibaya Zaid mvulana wa dar, pole Sana Kwa kuingizwa mjin na mwanaume wa mkoaniPale Zenji ukitokea Ferry ni umbali wa kama Mlandizi tu,
Ilifaa tulipe Buku tu kama tunavyolipa kwenda Mlandizi
Kwa mabasi kuna nauli tatu tofauti kutegemea na daraja. Yapo madaraja matatu kama ifuatavyo 1. Daraja la kawaida 2. Daraja la uchumi 3. Daraja la biashara. Kwa kiingereza ni Ordinary class, economy class na business class. Nauli kwa kila daraja zinatofautiana mkuu.hawa sumatra sijui wanafanya nini yaani toka Kilimanjaro mpk Dodoma nauli ni 23,000 ila tunakatiwa Kwa 28,000 alafu wao wanasimamisha tumbo zao huko barabara wakipewa ela ya kiwi na makonda wasifike kwenye gari
Mkuu![]()
![]()
mzee huyu hata ungemuweka kwenye injini kwa buku ten angekubali tu!
SUMATRA na Zanzibar Maritime Authority (ZMA) kwa pamoja wakishirikiana kwa dhati wanaweza kuondoa tatizo hilo.mkuu kama ticket imeandikwa bei hiyo unayolalamikia i.e 35000 ihifadhi na ikiwezekana hayo malalamiko yako yaweke katika maandishi na uyawasilishe SUMATRA (kama hutojali) unaweza kuwa mkombozi wa tatizo hilo kwa watapeliwaji wengi
Ni wizi ticket unayopewa officen ukifika kweny bus wanakunyang'ang'a wanakupa yenye bei elekeziKwa mabasi kuna nauli tatu tofauti kutegemea na daraja. Yapo madaraja matatu kama ifuatavyo 1. Daraja la kawaida 2. Daraja la uchumi 3. Daraja la biashara. Kwa kiingereza ni Ordinary class, economy class na business class. Nauli kwa kila daraja zinatofautiana mkuu.


Bila shaka ww utakuwa msukuma, bonge la mshamba!Habarini wakuu!
Niende moja kwa moja juu ya utapeli unaofanywa na wakata tiketi wa boti za Azam. Mnamo siku ya Alhamis majira ya saa saba mchana nilifika bandarini nikiwa ni msafiri kwenda Zanzibar. Bajeti ya nauli niliyokuwa nayo ni 25,000 kwenda na kurudu nauli hio hio.
Sasa kufika pale nikaambiwa bei ni 35,000/- nikasema nataka ya 25, mkatishaji akasema labda ukate ya kesho asubuhi. Basi kwa shingo upande nikaongeza 10,000/- nikapewa hio ya elf 35.
Kinachoniuma zaidi ni pale jamaa yangu niliyekuwa nasafiri nae alifika bado robo saa tuanze kuingia melini alikata tiketi ya 25,000/-. Kabla hajafika nilimwambia awahi asijekuta na hizo za 35 zimeisha akaambulia za 50.
Hilo nikalimezea tu nikasema bas labda sio bahati yangu. Kilichoniuma zaidi na zaidi ni huko Zenji, nilifika saa moja kasoro asubuhi kukata tiketi na hapo pia naambiwa hakuna za elfu 25 kwenye boti ya saa tatu zipo za 35, 50 na 60 tu. Kwa shingo upande tena nikakata hio 35.
Jamaa yangu kama kawaida yake kachelewa chelewa badae anakuja bandarini ananipigia simu namwambia nipo humu VIP Lounge, anasema kwani sikupata za 25? Mbona yeye kakata sasa hivi kwa 25!
Kwa kweli nimeumia sana kwani bajeti yangu imeharibiwa na hawa wakata tiketi, hivyo naomba sana SUMATRA komesheni hii hali, yaani wanalazimisha kuuza za bei ya juu kwanza halafu ndio wauze economy. Na wanadanganya kwa kusema zimeisha. Sumatra tusaidieni kwa hili tafadhali.
Nawasilisha wakuu!
Hujui tu kwenye ndege ndio unapigwa kisasa ila wengi bado mpo gizani.Ni muda muafaka sumatra kuwawajibisha wamiliki wanaolea matapeli mbona kwenye ndege hakuna huu upuuzi
Hakuna Coaster za kwenda Zanzibar.mi sielewag kbs kwann naul ya zenji ni kubwa kias hicho
Cjui kwann ile Mv kazi isianze kupeleka watu mpk Zenji ili walipe hata buku 2 tuHakuna Coaster za kwenda Zanzibar.
ndio nna uhakikaUna uhakika ulikatia ofisini kwa wenyewe azam mkuu??
asanteUmepigwa na vijana wa town. Wajinga ndio waliwao
Sawa mkuu leo nataka kushughulikia hili sualamkuu kama ticket imeandikwa bei hiyo unayolalamikia i.e 35000 ihifadhi na ikiwezekana hayo malalamiko yako yaweke katika maandishi na uyawasilishe SUMATRA (kama hutojali) unaweza kuwa mkombozi wa tatizo hilo kwa watapeliwaji wengi
niliinjoi ila haikuwa dhamira yangu. hali ni ngumu, elf 10 napata futari pale forodhaniLakini si uli-enjoy VIP treatment?