Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,412
DAR ES SALAAM: Kampuni ya JESHI SUMA JKT inayomiliki walinzi Dar es salaam na mikoani, imelalamikiwa na watu mbalimbali kuhusu rushwa.
Walinzi wa kampuni hiyo hasa wa UTUMISHI-DAR ES SALAAM, pale FERRY upande wa Kigamboni na Magogoni nao ndio wanaongoza.
Wale pale UTUMISHI wana bajaji zao kama nne, zinafunguliwa private gate zinabeba abiria wanaokwenda CRDB-PALM BEACH , means kila trip yule askari wa JKT anapewa 2000, kwa siku ANATOKA NA 20,000/- na hapo kuna bajaji zake 3 anazokusanya hiyo hela.
kumbuka abiria wengi hawapendi kwenda kule stendi kupanda bajaj maan wale madereva huwa wachafu na pia kunanuka shombo sana hivyo wengi wana prefer kwenda kudandia za njiani.
Pale FERRY hawa wamewakodishia machinga kwa siku wanalipwa 5000, hawa machinga wapo zaidi ya 10 , sasa utajua ni kiasi gani haw suma wanafanya.
HATUPINGI BIASHARA ila hawa machinga na ombaomba ambao wamepewa kibali na SUMA wanabuguthi abiria, wanawatukana, wanadhalilisha wanawake hasa kwakuwa watu wanabanana hivyo kugusa maugo ya siri ya wanawake , na kutuykana abiria bila kujali umri wao.
picha naanza kuweka za bajaj husika, baadae na wengine wekeni kwa siri za hawa ombaomba.
Walinzi wa kampuni hiyo hasa wa UTUMISHI-DAR ES SALAAM, pale FERRY upande wa Kigamboni na Magogoni nao ndio wanaongoza.
Wale pale UTUMISHI wana bajaji zao kama nne, zinafunguliwa private gate zinabeba abiria wanaokwenda CRDB-PALM BEACH , means kila trip yule askari wa JKT anapewa 2000, kwa siku ANATOKA NA 20,000/- na hapo kuna bajaji zake 3 anazokusanya hiyo hela.
kumbuka abiria wengi hawapendi kwenda kule stendi kupanda bajaj maan wale madereva huwa wachafu na pia kunanuka shombo sana hivyo wengi wana prefer kwenda kudandia za njiani.
Pale FERRY hawa wamewakodishia machinga kwa siku wanalipwa 5000, hawa machinga wapo zaidi ya 10 , sasa utajua ni kiasi gani haw suma wanafanya.
HATUPINGI BIASHARA ila hawa machinga na ombaomba ambao wamepewa kibali na SUMA wanabuguthi abiria, wanawatukana, wanadhalilisha wanawake hasa kwakuwa watu wanabanana hivyo kugusa maugo ya siri ya wanawake , na kutuykana abiria bila kujali umri wao.
picha naanza kuweka za bajaj husika, baadae na wengine wekeni kwa siri za hawa ombaomba.