Wote hapo juu naona kama wapuuzi. Sultan Jamsheed aende kwao Oman. Alivyo wa hovyo hata alipopinduliwa aliogopa kurudi huko kwao. Hawa waswahili wanaonekana kuwa na hang over ya utumwa vichwani mwao. Wanasema wasichojua na wanajua wasichosema. Kama wanaota kuwa sultan atarejea wamenoa. Wanapaswa kuelimishwa kuwa dunia huzunguka jua lakini jua halizunguki dunia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.