Sukari Tsh 4000 watu kimyaaa

Kweli. Na pia serikali inaweza kuruhusu bidhaa ziagizwe toka nje kwa utaratibu rasmi ili kufidia pengo. Kuzuia bidhaa zisiingie na badala yake unahimiza watu wajenge viwanda hadi vianze uzslishaji na kuzipa pengo la upungufu ni mwaka gani?
 
Hizi ndio taarifa tunazo zipenda sisi matajiri ikiwa bei chini mbona hamtuambii!
 
Kwa hiyo ule mkwara alioingia nao mkulu mwaka 2016 umeyeyuka? Au alikuwa hajui kuwa ni tatizo la Afrika mashariki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

pambana na hali yako achana na ya Kenya.
 
..kuna Vitu vingine hata vikipanda serikali haina cha Kufanya zaidi ya Ku Encourage watu waanzishe Viwanda vipya....

Seriously? Serikali haina cha kufanya? Sio kosa lako though..
 
Wewe usifananishe kenya na sisi wao mpaka waliuana kwa mambobya uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…