Scottz
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 269
- 400
et wanavyotiririka humu , mkuu umenifurahisha.Yaani hata Mimi nimeshangaa Sana, issue sensitive kama hii alaf watu wanajibu kwa dhihaka, kwa akili za namna hii ndio maana serikali inafanya inavyotaka na hakuna hatua zozote zitachukuliwa
Hii mada ingekuwa ya namna ya kumfikisha mwanamke kileleni au namna ya kuunganisha mabao bila kupumzika ungeona namna watu wanavyotiririka humu
So sad 😢