Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,422
- 911,172
kweli sisingizii ingawaje najua majuto ni mjukuu...................
sukari nilipoanza kuilamba nilifikiri ni shujaa....................
lakini sasa najuta kwa nini hata niliilamba.......................
kila nilipokuwa nailamba nilidhani mimi kijogoo..................
sasa nimepoteza mwelekeo kwa sababu ninaisikia mwilini ikidai fidia na imegeuka balaa..........
nilidhani ningelipewa kikombe....................
lakini nilichoambuliwa ni takwimu kichwani kwangu............................
takwimu za majeraha niliyoyasababisha mengi yake kwa kukusudia............
kumbe sasa mwili unawaka moto hata mifupa inanilaumu...........
joto nalisikia mwilini na najisikia kuwashwawashwa.............
mapele mwili mzima na ninajisikia kunuka.............
hamu ya kula sina na koo limejaa vidonda..........
nipo mbioni kwenda kupimwa ingawaje majibu ninayajua...................
(uhusiano wa makala hii na mtu yeyote yule ni kwa bahati mbaya tu kwani ni habari ya kubuni tu.)
sukari nilipoanza kuilamba nilifikiri ni shujaa....................
lakini sasa najuta kwa nini hata niliilamba.......................
kila nilipokuwa nailamba nilidhani mimi kijogoo..................
sasa nimepoteza mwelekeo kwa sababu ninaisikia mwilini ikidai fidia na imegeuka balaa..........
nilidhani ningelipewa kikombe....................
lakini nilichoambuliwa ni takwimu kichwani kwangu............................
takwimu za majeraha niliyoyasababisha mengi yake kwa kukusudia............
kumbe sasa mwili unawaka moto hata mifupa inanilaumu...........
joto nalisikia mwilini na najisikia kuwashwawashwa.............
mapele mwili mzima na ninajisikia kunuka.............
hamu ya kula sina na koo limejaa vidonda..........
nipo mbioni kwenda kupimwa ingawaje majibu ninayajua...................
(uhusiano wa makala hii na mtu yeyote yule ni kwa bahati mbaya tu kwani ni habari ya kubuni tu.)