Mvua mwaka jana zilianza mapema sana. Inawezekana kabisa ziliathiri uzalishaji wa viwanda vya ndani. Maji yakijaa mashambani, inakuwa ngumu kutoa miwa. Ndio maana viwanda vingi vinaanza uzalishaji June baada mvua, mpaka February kabla ya masika.
Hizi za mwaka huu zikiendelea kwa muda sana, nazo pia zitatengeneza tatizo kama hilo.