Huku arusha nimeenda dukani nikauziwa kilo moja ya sukari shilingi 3500 ..he huko mliko nyie mnauziwa shilingi ngapi..?mpaka nimeshtuka..huku muuzaji akisema tokea juzi sukari imepanda bei
Bwana jiwe alituambia aliikuta sukari ikiuzwa Tshs 5,000 kwa kilo akaipunguza Hadi Tshs 2,500 na pia ingezidi kushika Bei.
Wanaomuamini Magufuli sijui huwa wanavutishwa kitu gani?!!!
Huku arusha nimeenda dukani nikauziwa kilo moja ya sukari shilingi 3500 ..he huko mliko nyie mnauziwa shilingi ngapi..?mpaka nimeshtuka..huku muuzaji akisema tokea juzi sukari imepanda bei