WAFANYAKAZI wa sekta za taasisi na mashirika mbalimbali ya umma na binafsi mkoani hapa wamemkataa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, John Mwakipesile, kupokea maandamano yao ya amani ya kupinga ongezeko la gharama za nishati ya umeme yanayotarajia kufanyika Januari 29, mwaka huu, badala yake wamekubaliana kumteua Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), maarufu kwa jina la Sugu kuwa mgeni rasmi wa maandamano hayo kwa kile walichodai kuwa mkuu huyo wa mkoa (RC) hana uwezo wa kufikisha kilio chao kwa wahusika.
Source: Tanzania Daima.
Hii ni aibu kwa Mkuu wa Mkoa kama wafanyakazi wako hawakuamini utakuwa utakuwa unaongoza kitu gani mkoani mwako, aibu.
Source: Tanzania Daima.
Hii ni aibu kwa Mkuu wa Mkoa kama wafanyakazi wako hawakuamini utakuwa utakuwa unaongoza kitu gani mkoani mwako, aibu.