Ukiangalia mikutano ya chadema na ile ya nape na wapambe wake,utajua kuwa ccm kimekosa mvuto kwa wananchi kwa idadi yao ukiwahesabu hata huwezi kumaliza vidole,.namshauri nape atafute pesa za kuhonga wananchi waje kumsikiliza porojo zake na mwigula wake.pia tunamtaka nape arudishe kadi ya chadema.