Sugu atikisa Makambako


'Siasa ni mbio za vijiti' alishasema nikki mbisi
 
Dah Nchi hii bwana! Nisaidieni wakuu,Hivi sugu Huyu ndio yule aliyekuwa anaimba 'ana miaka chini ya 18?
 
Hongera Kamanda Sugu kwa msimamo thabiti ndani ya CHADEMA.
Umechagua kutonunuliwa kwa faida ya Umma uiokuchagua.
 
Safi sana SUGU tuongoze kupigania ukombozi, huyu mjamaa ataishia Kigoma ata Mwanza alikuja akaishia mafichoni.
 
mm ni mkazi wa makambako,bt leo ilikuwa mkutano mbovu na usiokuwa na watu kati ya yote ilowahi fanyika.sijui yawezekana hakukuwa na hamasa (pa) ya kutosha
 
Dah Nchi hii bwana! Nisaidieni wakuu,Hivi sugu Huyu ndio yule aliyekuwa anaimba 'ana miaka chini ya 18?
Ndio yule alieimba nipo mikononi mwa polisi,maisha yangu bado ni mikosi afandeeee.!!!!!
 
Kaimbe mziki huku hakukufai mwanaume mzima umapigana bungeni
 
Huku hakuna upuuzi wa ccm,chezeeni wajinga wajinga wachache. Mwaka huu magamba mtaisoma namba.
 
Ni jumapili tulivu kabisa wananchi wa makambako wamejitokeza kwa wingi kuzikiliza mkutano wa cdm ktk viwanja vya police, ni kamanda sugu aliyeongoza harakati za ukweli, kwa kupinga manyanyaso ya serikali ya ccm.
 

Attachments

  • tmp_20140105_1748551584289666.jpg
    333.8 KB · Views: 202
  • tmp_20140105_1748451226650501.jpg
    372.9 KB · Views: 522
  • tmp_20140105_1753322086078853.jpg
    389.4 KB · Views: 798
  • tmp_20140105_17481448418030.jpg
    196.4 KB · Views: 142
Safi sana Kamanda hadi kileleweke,waelimisheni wananchi juu ya hawa MAFISI wauaji wa raia wema kwa kuwachomoa kucha,meno hadi macho,Maccm ni majizi mauaji na wauaji wa Tembo.Big up Kamanda
 
Huyo ndiye rais wa mbeya mlio chagua wabunge kupitia chama cha magamba a.k.a mizigo mlie tu hadi 25/10/2015 kama hamtafanya tena makosa.peeopleoooos power
 
mm ni mkazi wa makambako,bt leo ilikuwa mkutano mbovu na usiokuwa na watu kati ya yote ilowahi fanyika.sijui yawezekana hakukuwa na hamasa (pa) ya kutosha

Wewe utakuwa upo mtwango mbona mkutano wa leo hapa Makambako umefaana!!!
Acha upotoshaji kama hukuwepo aisee!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…