Sugu apata soko la maharage nje ya Nchi, Wakulima kazi kwenu

Hii idea ya kudhamini tamasha kama hilo ninayo sema hela ndio sina. Mpaka nipate hela wasijekuwa wamezeeka wote au wamefariki, au nisipate hizo hela.

Changamoto ni kuwarudisha kwenye form wengi wao hawana mazoezi ya sauti, discipline hawana kuna wavuta bangi madawa na pombe, hawana maisha na wengine wamejipata, hawazingatii mikataba na makubaliano. Yani changamoto kwao ni nyingi ila suala la marketing linafanyika vizuri hata media baadhi zikisusa.

Anyway kuwaza ni bure. Hela sina mimi ila ningekuwa nayo sasa!
Ukiwaona kwenye jukwaa P Diddy, Ashanti, Dr Dre, Ja Rule na Snoop Dogg umri waenda lakini wakiwa jukwaani ni kama enzi zao miaka ya 1990s, na uzuri majuzi Snoop alitangaza ameacha rasmi kutumia mmea.

Hawa watu huandaliwa special kwa ajili hiyo ya tamasha kubwa na kunakuwepo na strict rules mpaka siku ifike na ipite ndo waendelee na mambo mengine.

Ndo maana Ja Rule swaga lilelile, Dr yumo kwenye kinanda na Snoop akimwaga sera kwa mic.

Hivyo kwanza ni maandalizi, mkataba kutiwa saini, kampuni ilo serious, eneo la kufanyia tamasha na na wasanii legends kuitwa kambini ambako hakuna ujinga ikiwemo kuchoma mmea kwa muda hata miezi mitatu kabla.
 
Hivi level ya elimu ya sugu ni ipi?
ELimu ni maarifa mkuu, elimu sio kuweka A" kwenye makaratasi

Ndio maana unaona akina diamond, harmonize na madarasa yao ya saba wanafanya mziki kimataifa

Maana mpaka umeuliza hivyo umetilia shaka kingereza
 
Napendekeza hili jambo litangazwe vizuri.. hayo maharage tutamuuzia nani? Wapi? Kwa bei gani? Au tuje PM?? Msimu huu ni wa mavuno ya maharage na tunaendea kilimo cha maharage awamu ya pili ni vyema tungepata taarifa kamili ili tuweze kuwekeza na huko badala ya kuandika habari nzuri kama hii kisiasa tuu. Any way ahsante Sugu naomba vyombo husika visimkwamishe kwa jambo hili kwakuwa tuu yeye ni Mpinzani. Ni vyema maslahi ya mkulima yakatangulizwa kwanza.
Aluta continua... CDE Mtwa mkulu kutoka mgololo
Erythrocyte
Mkuu, jaribu maharage ya Mbeya na yale ya Rukwa ni mazuri sana. Hata mahindi ni hivyo.

Pia kuna viazi khasa nyanda za juu kusini Mbeya, Iringa viazi mviringo,mbatata na hivyo ukiwa na lori la kukusanya kutoka kwa wakulima wadogowadogo.
 
Tanzania soko la mihogo lipo tena kubwa.Kiwanda cha Azania Millers pale ubungo hununua makopa ya mihogo iliyokaushwa kuanzia tani kumi kiasi chochote hata uwe na tani milioni moja
Mwenye mihogo hiyo iliyokaushwa aweza dhibitisha hilo awasiliane nao awaulize bei wananunua awapelekee pale kiwandani
Wacha kutapeli watu
 
Awachelewi kuchanga na mchanga mbongo sio.
Pana mwaka wavietnam walimport korosho bongo kufika kwao nusu korosho nusu kokoto.
Wakaamua kuimport mbegu za korosho nadhani mwakani wataanza kuvuna korosho.
Malaysia, Singapore walichukua mbegu za chikichi kigoma na Nigeria baada ya kung'oa mpira aulipi Leo wanatuuzia mafuta ya korie wakati tuna michikichi imejaa.
 
Napendekeza hili jambo litangazwe vizuri.. hayo maharage tutamuuzia nani? Wapi? Kwa bei gani? Au tuje PM?? Msimu huu ni wa mavuno ya maharage na tunaendea kilimo cha maharage awamu ya pili ni vyema tungepata taarifa kamili ili tuweze kuwekeza na huko badala ya kuandika habari nzuri kama hii kisiasa tuu. Any way ahsante Sugu naomba vyombo husika visimkwamishe kwa jambo hili kwakuwa tuu yeye ni Mpinzani. Ni vyema maslahi ya mkulima yakatangulizwa kwanza.
Aluta continua... CDE Mtwa mkulu kutoka mgololo
Erythrocyte
Usiondoke JF
 
Wanasiasa machokoraa wasiojua uchumi, wanaowafukarisha wananchi, hawatakiwi kabisa.

Tunataka viongozi kama akili Bakhresa, Mo, Sugu, Mbowe na the like ili wawaongoze watu kuelekea kwenye mafanikio ya maendeleo. Siyo watu kama akina Makonda au Mwigulu wanaowaongoza watu kuwa wauaji na wevi wa pesa za wananchi.
We fala, Sugu kakalia kiti miaka 10, anachokumbukwa ni kutoa tusi la kidole cha kati.
Mbumbumbu kama ninyi mnaridhika na swaga za kijinga kabisa.
Nendeni kwa Sugu mkale maharage!
 
Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki

View attachment 2938598

Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya kusaidia Wakulima wa Tanzania tayari yamekamilika , tayari Wazungu hao wamekubali kununua makontena zaidi ya 250 ya Maharage hayo kwa kuanzia

View attachment 2938599

Tunatoa wito kwa wakulima wote wenye maharage hayo kujitokeza , maana bei yake kwa sasa iko juu mno .

Sugu Mkombozi wa wakulima
Waturuki sio wazungu umekosea hapo kusema eti waturuki ni Wazungu.
 
CCM waliopo madarakani hawakuwahi kujiajiri kwa namna yoyote wanasubiri pensheni ya wastaafu ya waajiriwa wa serikalini na katika chama pale Lumumba na makao makuu ya CCM.

24 March 2024
Arusha, Tanzania
WAONGOZA UTALII 500 WAMLILIA RAIS SAMIA, WANALIPISHWA DOLA 50, WENGI SASA HATARINI KUFA NJAA


View: https://m.youtube.com/watch?v=SJ7o7nGDoOo

Ujira wao waongoza utalii ni Tshs. 50,000/= lakini watatakiwa kulipia cash katika geti kwa fedha ya kigeni dola 50 za kimarekani .....
 
Back
Top Bottom