muhogomtamu
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 412
- 69
Huyu Sigala ni mtu wa kujipendekeza pendekeza maisha yake yote hata huo uDC aliupata kwa kuruhusu mwenza wake atumiwe na wale waliompa cheo!! Kikwete Airport inajengwa Bagamoyo , sasa nyie watu wa Mbeya mnataka kukiita kiwanja chenu kwa jina hilo kwa busara gani kama sio kujipendekeza ;ilhali mnajua kuwa baba mwanaAsha hawapendi watu wa kutoka mkoa huo?
maneno makali sana apo penye red,hakuna tasfida yake mkuu