kwenye kipindi cha bunge waziri lukuvi alihamia upande wanaokaa kambi ya upinzani na kukaa jirani na Sugu, walijadiliana kwa muda mrefu na sehemu kubwa Lukuvi alitulizwa.... bila shaka topic ilitokana na tamko la Sugu kupiga marufuku viongozi kukanyaga Mbeya!